Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
🤣🤣🤣🤣 nini tenambavu cna, khaaah.
🤣🤣🤣🤣 nini tenambavu cna, khaaah.
Naomba ninywe soda kwanza af nikurudie maana sijakuelewa🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tofautisha kati ya 🚘 na 💵
Tupia sahiviHamna kitu. Ngoja leo na mimi nitupie
Tena aseme huku ananuia na kuapa,Naomba urudie kusema hayo maneno tena ukiwa umeshika Biblia






Acha basi wewe. Mbona wewe mwenyewe ulinikacha pisi kama pisi?Na huyo alivyo mrefu mweusi
😅😜
Plus ile slang yake
Atapata wateja 😆😆😆
Sijui tunaenda wapi sahiviwee tena, mda ote uko kushoto kwa usukani, una zoom taifa la tozo. Pande ya jamhuri ya Chugastan.
Na huyo alivyo mrefu mweusi
![]()
Plus ile slang yake
Atapata wateja![]()





ila wee unanivunja mbavu, watu wa chuga mie wananipa Hype sanaaa. Ile lafudhi, afu wana maneno ya ku banger, daaaah. 






Sijui tunaenda wapi sahivi View attachment 2291447




hapo sasa, hebu muambie muende karatu mkataliii huko.Wakati ule nilikuwa bado sijakuwa 🤣🙌Acha basi wewe. Mbona wewe mwenyewe ulinikacha pisi kama pisi?
Ko ushakua?Wakati ule nilikuwa bado sijakuwa 🤣🙌
Chalii kama chalii
Bado kidogoKo ushakua?
Wacha ujinga wewe 😂Chalii kama chalii
Niongezee kuwa unaongea vizuri sana 😅😅🙌
Haya chaliii wa R huyu hapa. Noumaaaaaah!!!






Ni urongooKwani uongo![]()
I will wait.Bado kidogo
Wana hasira muda woteWanakuwaga wakuda sana. Mafuta ya kijiko.