Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,790
Huyo aliye kupiga picha nipe namba yakeMchana mwema View attachment 2291395
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Huyo aliye kupiga picha nipe namba yakeMchana mwema View attachment 2291395
Natafuta details za picha, hadi nikufikie nikuporee nguo.
![]()

Hapa umefika sasa mm ndyo master wa viksi lotionEwaaaah ndo sie tunataka hiyo mivumbi ya Kongo
Yani me mwenyewe sielewi kabisa wanamaanisha nnEeh usiniambie?
Wakimaanisha...?
Mimi nnae chuma cha mjerumani VW Touareg mamalai@The Garang anamiliki Subaru, mrefu mwembamba, mweusi uwiiiiii
Usinizibie ridhiki tafadhali tafadhali...





mm kazi yangu kuharibu tu Tatizo bei, wee muhindi 800 khaaaah. Dar jaman hapanaaa.
Lizzy I miss you. Kesho nipo Arusha. Ntakucheki
Nyie ndio mnafanyaga watuone tunae viherehere na magari 🤣🤣🤣@The Garang anamiliki Subaru, mrefu mwembamba, mweusi uwiiiiii
LoL, em naomba upange tarehe na eneo la matumizi ya hzo vumbi la D. R. C na alkasus

Fursa hyo mwananguNafika chap kwa haraka huko PM mwendo wa ngiri.
Kwan uongo?? Nan hataki Gari? Hata wao wanapenda magari ndo maana wananunua.Nyie ndio mnafanyaga watuone tunae viherehere na magari![]()
Usipaogope bana!!! Mabichi 500 tu.Tatizo bei, wee muhindi 800 khaaaah. Dar jaman hapanaaa.
Sipaweziii.

jmnTunawachoma😅Eeh usiniambie?
Wakimaanisha...?
Vumbi la ndugai style hili weka Mbali na watoto pumzi unayoLoL, em naomba upange tarehe na eneo la matumizi ya hzo vumbi la D. R. C na alkasus![]()