Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Didi maana yake nn? Juzi nimeitwa ‘aunt didi, na wewe tena [emoji28]


Sasa unapendaje la mwenzio [emoji1787] kuna namna najiulizaga nakosa hata majibu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] didii ni neno la Mombasa huko, lina maanisha shost, rafiki, km hivyooo.

Didii akeee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mjini utapaweza basis, full tafrani.

Gari tamuuuuu. Hata km sio lako. Unavimbia tyuuh.
 
Ila Melo mzuriii, kuna picha yake aliweka tsup dp, wee nkaiweka kwangu Tsup, kuna shogaa angu akaniulizaa "shoga huyu kijana umemuibua wapi? " nyie nilicheka mbavu cnaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sauti sasa mweeeeeh, hebu niwe mpolee nisije pigwa ban.
Weka na yangu basi mashosti zako wanigombanie
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila watu wachokozi mnoooo. View attachment 2291417
+
JamiiForums-1767640226.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] didii ni neno la Mombasa huko, lina maanisha shost, rafiki, km hivyooo.

Didii akeee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mjini utapaweza basis, full tafrani.

Gari tamuuuuu. Hata km sio lako. Unavimbia tyuuh.
Aah basi sawa didi akee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

My didi emu Njoo uchukue nickname mpya Lenie


Vimbeni tu 🤣🙌
Mm mpenda kukaa nyuma na kuendeshwa ndio maana sielewagi asee
 
[emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mod wa zamu atamfikishia sifa zake
Naogopa nisije pigwa ban, ila sifa zake apewe amekamilika bhana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aah basi sawa didi akee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

My didi emu Njoo uchukue nickname mpya Lenie


Vimbeni tu 🤣🙌
Mm mpenda kukaa nyuma na kuendeshwa ndio maana sielewagi asee
Didi akeeeee😅😅
 
Back
Top Bottom