Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Didi maana yake nn? Juzi nimeitwa ‘aunt didi, na wewe tena


Sasa unapendaje la mwenzio kuna namna najiulizaga nakosa hata majibu
didii ni neno la Mombasa huko, lina maanisha shost, rafiki, km hivyooo.

Didii akeee. mjini utapaweza basis, full tafrani.

Gari tamuuuuu. Hata km sio lako. Unavimbia tyuuh.
 
Ila Melo mzuriii, kuna picha yake aliweka tsup dp, wee nkaiweka kwangu Tsup, kuna shogaa angu akaniulizaa "shoga huyu kijana umemuibua wapi? " nyie nilicheka mbavu cnaaa

Sauti sasa mweeeeeh, hebu niwe mpolee nisije pigwa ban.
Weka na yangu basi mashosti zako wanigombanie
 

Ila watu wachokozi mnoooo. View attachment 2291417
+
JamiiForums-1767640226.jpg
 
didii ni neno la Mombasa huko, lina maanisha shost, rafiki, km hivyooo.

Didii akeee. mjini utapaweza basis, full tafrani.

Gari tamuuuuu. Hata km sio lako. Unavimbia tyuuh.
Aah basi sawa didi akee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

My didi emu Njoo uchukue nickname mpya Lenie


Vimbeni tu 🤣🙌
Mm mpenda kukaa nyuma na kuendeshwa ndio maana sielewagi asee
 
Aah basi sawa didi akee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

My didi emu Njoo uchukue nickname mpya Lenie


Vimbeni tu 🤣🙌
Mm mpenda kukaa nyuma na kuendeshwa ndio maana sielewagi asee
Didi akeeeee😅😅
 
Back
Top Bottom