Mambo darling
Kwamba sio cocaPicha za 'kudanlodi'.

Tubadilishane kwani wee unipe kiponi ilee.Umependeza sana shossss hilo gauniii limenitoaje matee!!
Nakuja kulichukua walai usintanieeee!!
Siku hizi tunaitwa mikukiNyie ndio wazuriiii wepesi mnnabebeka kirahisi mamy!!!




Miss u sweetie
Mnachoma na kuchomoa kiwepesiSiku hizi tunaitwa mikuki![]()
Nyie nilikuwa wapi mtoto mkali......... Mchana mwemaView attachment 2291359

Shauri yako utapishana na gari la mshahara.Mim kitambi kwangu ni mwiko..... Kutunzwa au situnzwi hyo ni siri yangunaogopa kukwambia aunt Antonnia ashanikataza nisiwe ka kisebengo Cha kusema Siri za nyumbani kwetu
Pisi kama hii ndyo yakupakia vumbi la Congo sasa......... Mchana mwemaView attachment 2291359
Hebu rudia ya kiponii. Shougaaa angu.Poapoa mamy hata badae ukiweka usiache kunitag jamani!!
Nimeweka tbtTina Kasema leo hakuweka eti!

Me mwenyewe sifaham
Sio yeye. Kwa maneno yake humu lazima awe nginjangija frangenge.Kwamba sio coca![]()
Ewaaaah ndo sie tunataka hiyo mivumbi ya Kongo