Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,790
Oyaa ww kijana huyo ni shemeji yakoHawa ndy wazazi wako? Hongera zao Kwa kukuza mtoto mkali


Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Oyaa ww kijana huyo ni shemeji yakoHawa ndy wazazi wako? Hongera zao Kwa kukuza mtoto mkali


Tuko wengi mama angu tukipulizwa na upepo tunapeperuka![]()

jmn Nimeweka ya zamaniPoapoa mamy hata badae ukiweka usiache kunitag jamani!!
HahaaaNyie ndio wazuriiii wepesi mnnabebeka kirahisi mamy!!!
Gari la mshahara me ndo namiliki..... Mjep na The GarangShauri yako utapishana na gari la mshahara.
Ndiojmn
Eti tukipilizwa na upepo
Sio yeye. Kwa maneno yake humu lazima awe nginjangija frangenge.




nimecheka mbavu cnaaa, njooo PM nikuweke full ilo utangaze vizurii JF. Usinizibie ridhiki tafadhali tafadhali...
Dah niliona una potential ila ushaharibu sasa. Au niongeze kwenye list maana sisi wanaume huwa tunajaliana tuta'share'.Gari la mshahara me ndo namiliki..... Mjep na The Garang
Tina ww unamajaribu jamanMchana mwema View attachment 2291395
Na kwako jirani..Mchana mwema View attachment 2291395
myoyambendi 🤣🤣Stand ya mboya
Stand ya soweto
Stand ya majengo kwa mtei
Stand ya uru
Stand ya ngangamfumuni
Stand kila kona
Nafika chap kwa haraka huko PM mwendo wa ngiri.nimecheka mbavu cnaaa, njooo PM nikuweke full ilo utangaze vizurii JF.
Khaaah nidanilodi picha za watu ili nigundue nn? Au nifanye hivyo ili iweje? Unachekesha kweli woiiiiih.
Asante loveumependeza mama
@The Garang anamiliki Subaru, mrefu mwembamba, mweusi uwiiiiiiShauri yako utapishana na gari la mshahara.
Portable mbarikiwe sanaMchana mwema View attachment 2291395



Nangoja ugeukeMchana mwema View attachment 2291395