Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Niliambiwa hyo sehem hua kuna kenge mkubwa sana..... Hiyo mida ndo nilikua nmeenda kumuona huyo kenge.
Kenge mwenyewe asionekane.... Ila mazingira yalikua mazuri sana mawe mawe, ngedere na wale wanaita pimbi wanasema hua wanaliwa, me sikujaribu kabisa kula
Alafu pia upande mwingine kuna makaburi ya watemi yalikua mawili makubwa sana wanasema ni ya muda mrefu sana View attachment 2291109
Natafuta mke..naruhusiwa kuja pm au niende jukwaa la kutafuta wachumba nikaandike Uzi kule???
 
Ipo siku tu yaani kwa sasa nitulie tu mie

Nimesoma reviews aisee sio poa .. wazungu wanalalamika kuwa papo crowded etc View attachment 2291213View attachment 2291223
My dear mzungu is mzungu, na ni ngumu sana mbongo kubehave like mzungu for 90 percent.

Mbongo atataka hata ampandie kobe amuendeshe 🤣 (nimeona hapo 2nd screenshot..

Pako crowded mie sishangai, si unatujua watz tukisikia kaeneo kapya? Wenyewe ndio tunaita pako na vibe

Mf nina sister anakwambia Magoroto is not a natural forest, hawezi kwenda. Pia anasema pameendwa na watu wengi.. hiyo kwake imepunguza credit ‘ kanitajiq sehemu flani iko Moshi, kasema ni pazuri sana na hapana jam la watu.. sema nimesahau jina

So kila mtu na vile anavyochukulia vitu..
 
Back
Top Bottom