Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mnawasingizia tu

Wapi wanakesha niende nikanywe hata chupa 5 tu

Usingizi hamna basi tafran tu
Nawasingizia wapi? Kule muhukuru wapo kampuni 3, wanavyomaliza wadada na wamama hadi huruma, ndoa za watu zinaisha kila siku.

Kuna mwingine kumbe alikua mgonjwa, kasambazaaa wee yeye kafa. Lol
 
Uwe na Amani nimeibariki mibaraka tele kipenzi madame ameridhiaa kabisaaa!!
Tenaa umpe mashamsham yoteeee usimnyimeeee kila mahalaa jikoni sebleni kwenye kochi ukutani sakafuni bafuni kotee weee mpeee mpe tena na tenaaa.
Usimpe stress kabisa mr Vocha wetu selfika teinnnaaaaaaa!!!!
woyooooh nmeharalishwa naomba nifanye sherehe mapema ya kutambulishwa maan huyu uncle vocha ni kiruka njia... Naweza kushtuka yupo tena na bibi mpya.... Nkitafakali naona balaa sitaliweza
 
woyooooh nmeharalishwa naomba nifanye sherehe mapema ya kutambulishwa maan huyu uncle vocha ni kiruka njia... Naweza kushtuka yupo tena na bibi mpya.... Nkitafakali naona balaa sitaliweza
Just do what makes him feel like OMG!!! Hataruka ruka kabisa!! Huko kwingine ataenda ila moyo wake woteee utakua hapo kwakooo!!
Yeah huyo ni mwanaume nature yao unaijuaaa usimfatilie kabisa you must relllllaaaxxxxxxxx uinjoy maisha babygirl!!!
 
Niliambiwa hyo sehem hua kuna kenge mkubwa sana..... Hiyo mida ndo nilikua nmeenda kumuona huyo kenge.
Kenge mwenyewe asionekane.... Ila mazingira yalikua mazuri sana mawe mawe, ngedere na wale wanaita pimbi wanasema hua wanaliwa, me sikujaribu kabisa kula
Alafu pia upande mwingine kuna makaburi ya watemi yalikua mawili makubwa sana wanasema ni ya muda mrefu sana View attachment 2291109
Dearest una pouzzzz hatareeee.
Tabasamu hili, puliiiiizzzzzz mpiga picha ni nani?

 
Mdogo wangu Saint Anne naomba uniandalie mashairi yenye afya mimi ni husbae leo
Wameupiga wa jana
Kizunguzungu

Mashairi yake nilitupia jana
20220715_110050.jpg
 
Back
Top Bottom