Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

My dear mzungu is mzungu, na ni ngumu sana mbongo kubehave like mzungu for 90 percent.

Mbongo atataka hata ampandie kobe amuendeshe (nimeona hapo 2nd screenshot..

Pako crowded mie sishangai, si unatujua watz tukisikia kaeneo kapya? Wenyewe ndio tunaita pako na vibe

Mf nina sister anakwambia Magoroto is not a natural forest, hawezi kwenda. Pia anasema pameendwa na watu wengi.. hiyo kwake imepunguza credit ‘ kanitajiq sehemu flani iko Moshi, kasema ni pazuri sana na hapana jam la watu.. sema nimesahau jina

So kila mtu na vile anavyochukulia vitu..


Upo sahihi pale ni tourist attraction lazima tu pawe crowded Kiana halafu nimeona wengine wanalalamika kuwa wale Kobe wanaonewa ... Malalamishi hayaishi japo hazikosekani kasoro .

Magoroto kweli wengi wameenda hapo na pashazoeleka sasa ... Kuna uzi humu aliweka Mla Bata unaelezea vivutio vilivyopo nchini .
 
.
 

Attachments

  • IMG_7397.jpg
    IMG_7397.jpg
    513.7 KB · Views: 5
Back
Top Bottom