Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,682
- 208,881
😅😅 sawa jiraniSawasawa jirani. Itakuwa vizuri.
Naanza kujiandaa jirani.
😅😅 sawa jiraniSawasawa jirani. Itakuwa vizuri.
Naanza kujiandaa jirani.
Duh 🙄Wewe ni Li zuri
Halafu Li chokozi
Umenisimamisisha
Marahaba jirani...ziko vizuri.Shkamoo jirani.
Nimepika kimchongo
Fanya mchakato ukamwage wino kwa guest bookAsante kwa details dear
Ubarikiwe
Pazuri na panavutia mno
Wacha weee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uwe na Amani nimeibariki mibaraka tele kipenzi madame ameridhiaa kabisaaa!!
Tenaa umpe mashamsham yoteeee usimnyimeeee kila mahalaa jikoni sebleni kwenye kochi ukutani sakafuni bafuni kotee weee mpeee mpe tena na tenaaa.
Usimpe stress kabisa mr Vocha wetu selfika teinnnaaaaaaa!![emoji8][emoji8][emoji8][emoji108][emoji108][emoji108]!!
[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji8][emoji8][emoji8][emoji3531][emoji134][emoji134][emoji134]pole sana kumbe ndo hayo yalikusibu
Njoo unionyesheNawasingizia wapi? Kule muhukuru wapo kampuni 3, wanavyomaliza wadada na wamama hadi huruma, ndoa za watu zinaisha kila siku.
Kuna mwingine kumbe alikua mgonjwa, kasambazaaa wee yeye kafa. Lol
View imetuliaa mnooooo[emoji108][emoji108]Niliambiwa hyo sehem hua kuna kenge mkubwa sana..... Hiyo mida ndo nilikua nmeenda kumuona huyo kenge.
Kenge mwenyewe asionekane.... Ila mazingira yalikua mazuri sana mawe mawe, ngedere na wale wanaita pimbi wanasema hua wanaliwa, me sikujaribu kabisa kula
Alafu pia upande mwingine kuna makaburi ya watemi yalikua mawili makubwa sana wanasema ni ya muda mrefu sana View attachment 2291109
Hiyo hela nakula mihogo na kachumbali semester nzimaaa.
Ipo siku tu yaani kwa sasa nitulie tu mie [emoji3526]Fanya mchakato ukamwage wino kwa guest book
Good morning mrembo Pau..u are so beautifulGoodmorning fam[emoji8][emoji8]View attachment 2291205
NakusabahiDuh [emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nenda Muhukuru kashuhudie.Njoo unionyeshe
Yupi anamaliza ndoa za watu
Mpiga picha ntakwambia sikioni si unajua Aunt madame alinambia vitu ka hvo naongea karibu na sikio la mtuDearest una pouzzzz hatareeee.
Tabasamu hili, puliiiiizzzzzz mpiga picha ni nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Liveeeee, hiyo miwani kareeeeeh.Goodmorning fam[emoji8][emoji8]View attachment 2291205
Mimi huku mtaani naweka bill ya vitumbua Kwa mama bonge mwaka mzima[emoji3][emoji3]Hiyo hela nakula mihogo na kachumbali semester nzimaaa.
Afu ndo nipotezee kwa Kobe tyuuh? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Salama jirani ..Safii sana.Goodmorning fam😘😘View attachment 2291205
Teenaaaaaaah!!!Mpiga picha ntakwambia sikioni si unajua Aunt madame alinambia vitu ka hvo naongea karibu na sikio la mtu
[emoji849]SawA aunt ushauri wako ntaufuata[emoji4][emoji4][emoji847][emoji847]Just do what makes him feel like OMG!!! Hataruka ruka kabisa!! Huko kwingine ataenda ila moyo wake woteee utakua hapo kwakooo!!
Yeah huyo ni mwanaume nature yao unaijuaaa usimfatilie kabisa you must relllllaaaxxxxxxxx uinjoy maisha babygirl!!!
Nimecheka na ile commentNakusabahi