myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
Duh!! mnawajua kumbe.Unamaanisha Depal ? Deborah paul Laswai?
Duh!! mnawajua kumbe.Unamaanisha Depal ? Deborah paul Laswai?
🤣🤣🤣 ukiona picha imefutwa acha kureply ebooohDeborah Pantaleo Lyimo
Hongera sn ankoNdio mkuu
Kina Nani mkuu??Duh!! mnawajua kumbe.
NdioWacha wee,![]()

Uliniona na type ukafutaukiona picha imefutwa acha kureply eboooh
Huyo Deborah. 😂 😂Kina Nani mkuu??
Ya nini tena chiefHongera sn anko

🤣🤣 hata sikuona..Uliniona na type ukafuta
Muone
Ningejua ningekushika bega..maana hapa unakuwa mkaidi sn..Ngoja nimcheki gift (gigy money) nimuulize Yule mdada mweupe mwembamba ni Nani?sijawahi kwenda Big Sunday live,
Naendaje site ya hater wangu.???
🤣🤣🤣🤣🤣Huyo Deborah. 😂 😂
Nimemsikia hapa hapa jf mkuu..hata simjuiHuyo Deborah.![]()
![]()
Aliweka picha moja la kichokoziNimemsikia hapa hapa jf mkuu..hata simjui
Tuwe siriaz tuwajue. Humuhumu wanaweza kupatikana wachumba wakali 😂 😂Kwamba majirani zako
Ni wa mchongo![]()
Sawa mkuu..Nimemsikia hapa hapa jf mkuu..hata simjui
😅😅😅 kuna kadada kembamba kanakaaga mbele daily, kanaichekeshagasijawahi kwenda Big Sunday live,
Naendaje site ya hater wangu.???
Big Boy unakosajeTuwe siriaz tuwajue. Humuhumu wanaweza kupatikana wachumba wakali![]()
Pisi kali ziko humuhumu..
