Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ama kweli kizunguzungu kimenichanganya
Mpaka kimenipa wazimu
Shiishi kwanza kunywa sumu
Sababu ya huyu brotherman

Ufungue moyo
Naukabidhi kwako uwe wako
Wewe ndo nyota
Nuru yangu
Mwanga wangu

Utalosema nitasema "ndiyo"
Kama baya nitasima "siyo"
Mara chache mpenzi
Kukataa asemalo
Nifurahie baby
Kwa kila zuri utendalo

Ni wewe nilokuona mbele ya macho yangu
Niwewe
Uniliwaze
Nisiwaze
Umezaliwa wewe uwe wanguView attachment 2290490

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ndioo ndiiooooo!!!
 
Baba mtuishi yuko vizire !
Heko kwake!
Hivi kwanini sikumjua mapema kweli nimependa
She's handsome,and gentleman come on
Kweli nimpenda
Remix yangu

Oxstar ft Alikiba
IMG_20220714_172322_965.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom