cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,321
- 187,989
Wee uzisizikatee.Zinanusurika mkasi kila leo[emoji23]
Wee uzisizikatee.Zinanusurika mkasi kila leo[emoji23]
Mbna km unapanga matokeo?? Au ajira mpyaa??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamekuacha peke yako?
Nipo nipo sana kuna kashughuli nafanyaView attachment 2289420
Mbinga niliwahi pita tyuuh, nlikua naenda liparamba hadi mipoto poto. nikaja tokezea Mitomoni, wakati wa kurudi nilipita mto Ruvuma nikatokea Muhukuru, nduki Songea.Kweli kama Mbinga tu,
Bora ya songea mlongo,mbinga upawezi[emoji16]
Yaani sizikati huwa nazipunguzaga,maana wasusi wanakataaga kunksuka wanasema hawaziweziWee uzisizikatee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si unambie ili Connection nianze kuifanya sahivi, nikimaliza tyuuh shwaaah jobuni.Maliza chuo kwanza mengine utayakuta ukubwani [emoji23][emoji23][emoji23]
Sass home ukivuka mto kutokea mjini,mto wa kwanza ukipita kile ki mlima kama unaelekea liparamba[emoji16]Mbinga niliwahi pita tyuuh, nlikua naenda liparamba hadi mipoto poto. nikaja tokezea Mitomoni, wakati wa kurudi nilipita mto Ruvuma nikatokea Muhukuru, nduki Songea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani sizikati huwa nazipunguzaga,maana wasusi wanakataaga kunksuka wanasema hawaziwezi
Wee ngoja nikija mie ntakusuka za uzi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Yaani sizikati huwa nazipunguzaga,maana wasusi wanakataaga kunksuka wanasema hawaziwezi
[emoji16][emoji16][emoji16]aseme. Au ajira za muda,sensa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si unambie ili Connection nianze kuifanya sahivi, nikimaliza tyuuh shwaaah jobuni.
Una watu wengi sana humu unafahamiana nao tena kwenye uzi huu huu, wana nafasi zao, hawatashindwa kukushika mkono.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si unambie ili Connection nianze kuifanya sahivi, nikimaliza tyuuh shwaaah jobuni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee noumaaaaah, naweza kuja hadi palee nauliza kwa kina warda ni wapi???Sass home ukivuka mto kutokea mjini,mto wa kwanza ukipita kile ki mlima kama unaelekea liparamba[emoji16]
KumbeKote kote nipo, ni eidha nitakuwa Songea au Mbeya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa, kuna mtu yeye kapata kazi ya Sensa, hatupumui mbna, anasema wanapata Mil 1.[emoji16][emoji16][emoji16]aseme. Au ajira za muda,sensa[emoji23]
Yaani unaletwa hadi mlangoni[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee noumaaaaah, naweza kuja hadi palee nauliza kwa kina warda ni wapi???
Karibu sanaKumbe
Wee selfika hii?? Nawajuaje hapo? Hebu nisaidie.Una watu wengi sana humu unafahamiana nao tena kwenye uzi huu huu, wana nafasi zao, hawatashindwa kukushika mkono.
Kuwa makini tu utawagundua dakika sifuri
Kakuongopea[emoji16]. Bado awajatoa majina na pesa ni laki tano tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa, kuna mtu yeye kapata kazi ya Sensa, hatupumui mbna, anasema wanapata Mil 1.
Mie tatizo field, sasa yeye huyu field alikosa.
Kabisaaaaa,.Yaani unaletwa hadi mlangoni[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna hatupumui, yaan anavotusumbua sasa,Kakuongopea[emoji16]. Bado awajatoa majina na pesa ni laki tano tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]muongo Hi yo laki tano imedadavuliwa kila kitu semina nk,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna hatupumui, yaan anavotusumbua sasa,
Kasema semina siku 3, kila siku 100k, zoezi rasmi enyewe,ndo hiyo mil 1,
Anasema anataka afanyie kitu cha maana.