cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,169
Wee uzisizikatee.Zinanusurika mkasi kila leo![]()
Wee uzisizikatee.Zinanusurika mkasi kila leo![]()
Mbna km unapanga matokeo?? Au ajira mpyaa??
Mbinga niliwahi pita tyuuh, nlikua naenda liparamba hadi mipoto poto. nikaja tokezea Mitomoni, wakati wa kurudi nilipita mto Ruvuma nikatokea Muhukuru, nduki Songea.Kweli kama Mbinga tu,
Bora ya songea mlongo,mbinga upawezi![]()







Yaani sizikati huwa nazipunguzaga,maana wasusi wanakataaga kunksuka wanasema hawaziweziWee uzisizikatee.
Maliza chuo kwanza mengine utayakuta ukubwani![]()





sasa si unambie ili Connection nianze kuifanya sahivi, nikimaliza tyuuh shwaaah jobuni.Sass home ukivuka mto kutokea mjini,mto wa kwanza ukipita kile ki mlima kama unaelekea liparambaMbinga niliwahi pita tyuuh, nlikua naenda liparamba hadi mipoto poto. nikaja tokezea Mitomoni, wakati wa kurudi nilipita mto Ruvuma nikatokea Muhukuru, nduki Songea.
![]()

Yaani sizikati huwa nazipunguzaga,maana wasusi wanakataaga kunksuka wanasema hawaziwezi




Wee ngoja nikija mie ntakusuka za uzi.Yaani sizikati huwa nazipunguzaga,maana wasusi wanakataaga kunksuka wanasema hawaziwezi






.sasa si unambie ili Connection nianze kuifanya sahivi, nikimaliza tyuuh shwaaah jobuni.


aseme. Au ajira za muda,sensa
Una watu wengi sana humu unafahamiana nao tena kwenye uzi huu huu, wana nafasi zao, hawatashindwa kukushika mkono.sasa si unambie ili Connection nianze kuifanya sahivi, nikimaliza tyuuh shwaaah jobuni.
Sass home ukivuka mto kutokea mjini,mto wa kwanza ukipita kile ki mlima kama unaelekea liparamba![]()




wee noumaaaaah, naweza kuja hadi palee nauliza kwa kina warda ni wapi???KumbeKote kote nipo, ni eidha nitakuwa Songea au Mbeya.
aseme. Au ajira za muda,sensa
![]()





nimechekaaa, kuna mtu yeye kapata kazi ya Sensa, hatupumui mbna, anasema wanapata Mil 1.Yaani unaletwa hadi mlangoniwee noumaaaaah, naweza kuja hadi palee nauliza kwa kina warda ni wapi???

Karibu sanaKumbe
Wee selfika hii?? Nawajuaje hapo? Hebu nisaidie.Una watu wengi sana humu unafahamiana nao tena kwenye uzi huu huu, wana nafasi zao, hawatashindwa kukushika mkono.
Kuwa makini tu utawagundua dakika sifuri
Kakuongopeanimechekaaa, kuna mtu yeye kapata kazi ya Sensa, hatupumui mbna, anasema wanapata Mil 1.
Mie tatizo field, sasa yeye huyu field alikosa.
. Bado awajatoa majina na pesa ni laki tano tu.Kabisaaaaa,.Yaani unaletwa hadi mlangoni![]()
Kakuongopea. Bado awajatoa majina na pesa ni laki tano tu.



mbna hatupumui, yaan anavotusumbua sasa, mbna hatupumui, yaan anavotusumbua sasa,
Kasema semina siku 3, kila siku 100k, zoezi rasmi enyewe,ndo hiyo mil 1,
Anasema anataka afanyie kitu cha maana.



muongo Hi yo laki tano imedadavuliwa kila kitu semina nk,