andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 19,021
- 120,490
Shusha kwa chini kidooogoNilifumua hizi,mshenzi alinikaza balaa,kusuka kwenyewe hawezi View attachment 2289423

Shusha kwa chini kidooogoNilifumua hizi,mshenzi alinikaza balaa,kusuka kwenyewe hawezi View attachment 2289423

DhambiShusha kwa chini kidooogo![]()
muongo Hi yo laki tano imedadavuliwa kila kitu semina nk,




wee nimecheka, kesho namshushua mbna, asinitanie kabisaaa. Alivyokua ananirusha roho na hii Sensa, khaaaah.Hakuna kada ya hovyoo kwenye Elimu.Wapo wengi sana mbona? Tengeneza mazingira ya uhitaji kwa taaluma yako hata kwa watu watatu ulio karibu nao, watakufungulia milango kwa kukuunganisha na wengine. Umejijengea uwanja mpana kwasababu haujui kugombana na mtu. Tumia jukwaa hili hili utaona...
Kada yangu ni ya hovyo, haina ajira na kituo cha polisi ni nyumbani
wee nimecheka, kesho namshushua mbna, asinitanie kabisaaa. Alivyokua ananirusha roho na hii Sensa, khaaaah.





mwambie ajiandae kisaikolojia asijishaue sana,
Titangatilane mewawa.Basi pumzika. Japo mengi haujanijibu huko juu naamini kuna siku nyingine utafanya hivyo.
Tikomane mmammawa...![]()
Hakuna kada ya hovyoo kwenye Elimu.
Ahsanteee sana kwa kunifungulia ufahamu.
Ubarikiwe mnooooo.


Kwanza majina hayatoka,mwambie ajiandae kisaikolojia asijishaue sana,
Vigezo na masharti kuzingatiwa![]()






Kwahiyo utamtumbua mwenzio na jipu halijaivaKwanza majina hayatoka,
Pili hela ni laki 5, tena kila kitu.
Kesho atakoma mwehu huyu,![]()

Kumbe,Hakika. Mimi ni wa ng'ambo ya ziwa lenu,machache tunaelewana
Ewaa...Kumbe,
Kichewa
Na kingerezaEwaa...

Wee ni mpangwa?Hakika. Mimi ni wa ng'ambo ya ziwa lenu,machache tunaelewana
Wee sikua napumua yaan,Kwahiyo utamtumbua mwenzio na jipu halijaiva![]()







Ludewa ipo pembeni ya ziwa upande wa Tz, ng'ambo kuna Karonga, Mzimba, Nkatabay, Mangochi,...Wee ni mpangwa?
Maana ng'ambo ya ziwa nyasa, ni ludewa,
Ndo wapo wapangwa, pia kuna maneno na lafudhi tunashabihiana nao,
Aaaaah ouk hapo sawaaah.Ludewa ipo pembeni ya ziwa upande wa Tz, ng'ambo kuna Karonga, Mzimba, Nkatabay, Mangochi,...