Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wapo wengi sana mbona? Tengeneza mazingira ya uhitaji kwa taaluma yako hata kwa watu watatu ulio karibu nao, watakufungulia milango kwa kukuunganisha na wengine. Umejijengea uwanja mpana kwasababu haujui kugombana na mtu. Tumia jukwaa hili hili utaona...
Kada yangu ni ya hovyo, haina ajira na kituo cha polisi ni nyumbani
Hakuna kada ya hovyoo kwenye Elimu.
Ahsanteee sana kwa kunifungulia ufahamu.

Ubarikiwe mnooooo.
 
Zaburi 4:8
[8]Katika amani nitajilaza na kupata usingizi mara,
Maana Wewe, BWANA, peke yako,
Ndiwe unijaliaye kukaa salama.
I will both lay me down in peace, and sleep: for thou, LORD, only makest me dwell in safety.
FB_IMG_1657757870446.jpg
 
Back
Top Bottom