andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 19,021
- 120,490
😂😂😂😂 Anko niache na uzee wanguKumbe kuna style mtoto kagoma kunywa uji na hamsemi 😂
😂😂😂😂 Anko niache na uzee wanguKumbe kuna style mtoto kagoma kunywa uji na hamsemi 😂
Nigaie kamojaUtamu koleaView attachment 2289411
Kamoja kanakutosha?Nigaie kamoja
Mtani kuna siku ulitupia kapicha nikajisemea tu "nimewahi kumuona au nimefananisha?!!"Utamu koleaView attachment 2289411
Woyoooooooooh!!!
km
.Ofisi za selous zipo sehemu gani mbinga??Mtani kuna siku ulitupia kapicha nikajisemea tu "nimewahi kumuona au nimefananisha?!!"
Hii barabara ya Mbinga baada ya kimji maarufu unavyoelekea ofisi za Selous
Wapi tenaUnanikumbusha mbali wee dada,![]()
Naomba 🥳🥳Utamu koleaView attachment 2289411
NakuleteaNaomba![]()

Sio Mbinga ila barabara ya Mbinga, opoziti na sekondari pale jeshini ukipita LizaboniOfisi za selous zipo sehemu gani mbinga??
Naonja tu ntakumaliziaKamoja kanakutosha?
Ni songea hiyo sassSio Mbinga ila barabara ya Mbinga, opoziti na sekondari pale jeshini ukipita Lizaboni

Next picLeo tukeshe jamani,View attachment 2289418

Asalaam...Leo tukeshe jamani,View attachment 2289418
Ndivyo nilimaanisha Songea... Nilikuwepo karibu na hospitali ya huku mji...Ni songea hiyo sass![]()
Ruhuwiko? Sio unasemea national milling, ndo kuna ofisi na yard ya Super feo/selous.Sio Mbinga ila barabara ya Mbinga, opoziti na sekondari pale jeshini ukipita Lizaboni
Hospital ya mkoa au wilaya?Ndivyo nilimaanisha Songea... Nilikuwepo karibu na hospitali ya huku mji...