andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 19,021
- 120,490
Kumbe ni mwenyeji huku?Ruhuwiko? Sio unasemea national milling, ndo kuna ofisi na yard ya Super feo/selous.
Kumbe ni mwenyeji huku?Ruhuwiko? Sio unasemea national milling, ndo kuna ofisi na yard ya Super feo/selous.
Zipo sido eeh,Ruhuwiko? Sio unasemea national milling, ndo kuna ofisi na yard ya Super feo/selous.

Tena mwenyeji haswaaa, Songea yote naijua. Chocho zote nazimanyaaa.Kumbe ni mwenyeji huku?
kna some1 alikua analeteaga skuli, akija kunitembeleaa.



,watoto wa watu hawa jamani
Huyu anasemea Pale Ruhuwiko national milling, kule Yard anakopaki magari mabovu, na yaliyotumika sanaa, pia kuna yale ya mizigo ndo anaya park kuleeZipo sido eeh,
Najua anapapasa tu
Ni vile hajawahi hata kunifananisha,,,ingekuwa mbinga kidogo angepatia lkn sio maana sio maana sitokagi bila sababu.






Ulidhani nini??
Mwenyeji yupo,endelea kutaja maeneo![]()





Naam... Nywele za singa hizoUnataka uzikate?View attachment 2289419

Ulidhani nini??
Mwenyeji yupo,endelea kutaja maeneo![]()




Songea hata sio kubwaa, ukitembea KM chache ushamaliza mji.Huyu anasemea Pale Ruhuwiko national milling, kule Yard anakopaki magari mabovu, na yaliyotumika sanaa, pia kuna yale ya mizigo ndo anaya park kulee
Ruhuwiko vumbi tena jekundu utadhan wamechimbua vufusi, km sio town bhana.


kumbe,yaani. Hapa nilishapotezaga kumbukumbu
Lini utaenda Mbeya tena?kumbe,yaani. Hapa nilishapotezaga kumbukumbu
Tuliwahigi kushuka pale tulikaa sana, tulikuwa tunasubiri tubadilishiwe gari/super feo. Nilikuwa natoka mbeya.
Zinanusurika mkasi kila leoUna unywelee dada, umekuzaaa.![]()

Usilale,mwenzio naogopa hapaNaam... Nywele za singa hizo
Kutokulala mapema kuna raha yake Wallah


Kweli kama Mbinga tu,Songea hata sio kubwaa, ukitembea KM chache ushamaliza mji.

Unataka unipe lifti?Lini utaenda Mbeya tena?
kumbe,yaani. Hapa nilishapotezaga kumbukumbu
Tuliwahigi kushuka pale tulikaa sana, tulikuwa tunasubiri tubadilishiwe gari/super feo. Nilikuwa natoka mbeya.






yeaaaah ndo hapo hapo, hata kipindi gari wanakataza kushusha pale stand mjini, abiria wa Mbinga na nyasa, waliokuaa wanatoka Dar, walikua wanaenda kusubirishwa kule Ruhuwiko ili wapande bus la mbinga.