Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Zipo sido eeh,

Najua anapapasa tu

Ni vile hajawahi hata kunifananisha,,,ingekuwa mbinga kidogo angepatia lkn sio maana sio maana sitokagi bila sababu.
Huyu anasemea Pale Ruhuwiko national milling, kule Yard anakopaki magari mabovu, na yaliyotumika sanaa, pia kuna yale ya mizigo ndo anaya park kulee

Ruhuwiko vumbi tena jekundu utadhan wamechimbua vufusi, km sio town bhana.
 
Huyu anasemea Pale Ruhuwiko national milling, kule Yard anakopaki magari mabovu, na yaliyotumika sanaa, pia kuna yale ya mizigo ndo anaya park kulee

Ruhuwiko vumbi tena jekundu utadhan wamechimbua vufusi, km sio town bhana.
kumbe,yaani. Hapa nilishapotezaga kumbukumbu

Tuliwahigi kushuka pale tulikaa sana, tulikuwa tunasubiri tubadilishiwe gari/super feo. Nilikuwa natoka mbeya.
 
kumbe,yaani. Hapa nilishapotezaga kumbukumbu

Tuliwahigi kushuka pale tulikaa sana, tulikuwa tunasubiri tubadilishiwe gari/super feo. Nilikuwa natoka mbeya.
yeaaaah ndo hapo hapo, hata kipindi gari wanakataza kushusha pale stand mjini, abiria wa Mbinga na nyasa, waliokuaa wanatoka Dar, walikua wanaenda kusubirishwa kule Ruhuwiko ili wapande bus la mbinga.
 
Back
Top Bottom