Hahahaah..yule mzee mwantimwa alikuwa jirani yangu pale loleza sec..
Tumeishi pamoja pale kwenye zile Kota kabla hajahama rasmi..
Mkewe na watoto walikuwa wanauwata wazuri Sana..niliwapenda.
Kuhusu jina umepatia kabisa.. you're so smart my dear
.
Ila mwakaleli bhna migomo yenu ilikuwa inachekesha
.. Mara mmegoma sababu mnataka wali nyama.