Namuona dadaSakayo umemuona mjeda
Ebu mwambie namsalimia mimiNamuona dada
Achaga roho mbaya mdogo wangu, kuona picha ni kuhuisha nafsi, hasa leo siku ya bwana
Hebu nielekeze kufuta jamanii!




KakaaaaAchaga roho mbaya mdogo wangu, kuona picha ni kuhuisha nafsi, hasa leo siku ya bwana![]()
Ujuwe nilipoteza simu namba zikapoteza zote mdogo wangu!!Kakaaaa
Picha iko status bana
😆😆😆Aiseee
Saa sabaUnatoka saa ngapi
Kumbe ndo maana hunitafuti eehhhUjuwe nilipoteza simu namba zikapoteza zote mdogo wangu!!
Hivi huwa anasoma kweeliii
Naona unachochea kunii
Hivi huwa anasoma kweeliii



nadhani nae ameamua kuja kihivyo, kutupia likes.Kila mwenye dada hakosi shemejiNaona unachochea kunii