Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna kipindi alisharudi nyumbani.mwakaleli kwa migomo mlikuwa hamjambo..na yule baba yenu mwantimwa.
Amesoma hgl.
Jina lake B...
Sir name inaanzia L
Hahahaaa unamjua mwantimwa.
Alivyoinyoosha mwakaleeli
Wakakapeleka uboyzn iyunga akapaweke sawa pia.

Kwenye
B_herufi ya mwisho inayoishia ni A.
L_ herufi ya mwisho inayoishi ni (i)

Sijapatia nimepatia
 
Hahahaaa unamjua mwantimwa.
Alivyoinyoosha mwakaleeli
Wakakapeleka uboyzn iyunga akapaweke sawa pia.

Kwenye
B_herufi ya mwisho inayoishia ni A.
L_ herufi ya mwisho inayoishi ni (i)

Sijapatia nimepatia
Hahahaah..yule mzee mwantimwa alikuwa jirani yangu pale loleza sec..
Tumeishi pamoja pale kwenye zile Kota kabla hajahama rasmi..
Mkewe na watoto walikuwa wanauwata wazuri Sana..niliwapenda.

Kuhusu jina umepatia kabisa.. you're so smart my dear.
Ila mwakaleli bhna migomo yenu ilikuwa inachekesha.. Mara mmegoma sababu mnataka wali nyama.
 
Back
Top Bottom