Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,516
- 235,229
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anha halafu ukija hapa unaanza kunisumbua mimi nikutumie picha zilizofutwa kumbe unafanya makusudi eenh
Ile siku niliamua kuingia humu ndiyo Maana.
Nikiamua kukaa humu nakaa na nnashawishi watu watume picha na wanatuma.
Nikiamua kupumzika napumzika kweli.
Ngoja nijipe likizo angalau hata wiki