Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Basi unamjua ..embu nitajie lako nimuulize[emoji85].
Hata wewe utakuwa unamjua Maana sidhani Kama alikuwa mpole[emoji1787]
Natumai alikuwa mpole
Mwaka wetu watu 72 tulifukuzwa hadi siku ya mtihani. Mimi nlikuwa mmoja wao.lakini Nahisi walinionea

24 walifukuzwa kabisa.

Alikuwemo katika kanzi data iyo.
 
Natumai alikuwa mpole
Mwaka watu watu 72 tulifukuzwa hadi siku ya mtihani. Mimi nlikuwa mmoja wao.lakini Nahisi walinionea

24 walifukuzwa kabisa.

Alikuwemo katika kanzi data iyo.
Kuna kipindi alisharudi nyumbani[emoji1787][emoji1787][emoji1787].mwakaleli kwa migomo mlikuwa hamjambo..na yule baba yenu mwantimwa.
Amesoma hgl.
Jina lake B...
Sir name inaanzia L
 
Back
Top Bottom