Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,407
Mkwe unaongea na nani?
Ebu acha masharti yako ww kama unatuma tuma tu si unataka picha
Hata siujui huo mtaa mkwe.Napngea na simu mkuu.
Wajukuu zako wanauliza piemu ni mtaa gani eti?
Auntie kwahiyo ameshafuta sijui nakwama wapi mimi
Yaani uko japa hapa halafu unapitwa![]()
Asinichoshe mie jirani
We dada hiyo picha jamani mbona siioniAtoto siamini best
Eti imekupitaje Dada ukiwa hapa! ??We dada hiyo picha jamani mbona siioni
Kabisa jirani nilivyochoka mimi halafu mtu aje kunichosha tenaNa wewe hutaki kuchoshwa kabisa![]()
Khaaa, haya bwana! Macho hayashibi jamani

Pole auntie.Auntie kwahiyo ameshafuta sijui nakwama wapi mimi
Umejua kunichekesha sana leo.....Kabisa jirani nilivyochoka mimi halafu mtu aje kunichosha tena





Fanya kunitumi piem basi kama uliscreenshot auntiePole auntie.