cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Ndo nataka suprise hiyoooooo.!! Relaxx Soon nakusaprize shoss angu!!




.Sijambooooooo DrCoca hujambo..
Sawa best pambana mm Leo nachil home tu naperuz kwa msaada wako barikiwa sanaMishe tu best
Mjini hapa tunatafuta visenti




Yaahingizo jipya wee, selfika kumenogaaaa.
Asante madam ❤️@@Mjep wahii hukuu mambo matamu yanakupitaaaa!
So beautiful 😘😘
Bhana usiwaze tupo pamojaSawa best pambana mm Leo nachil home tu naperuz kwa msaada wako barikiwa sana
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app


Akija utamwambia niliweka
Mashallah 😍Waislamu wote, kesho ni sikukuuu ya Eid El Hajjah.
Ntapita huko kwenu kula pilau, tena ntajisitiri vizuriii, ili mkose visingizio,
Ostadhat wa mchongooo,
View attachment 2285127
Aki na mimi nasubiri unihonge japo buku tu madam, kuna raha wanaume tunapata kama kuhongwa na mtoto wa kikeHahahaha wewe jamaa
Yaani sina tu pesa mie lakini ningetoa kweli .
Huwezi amini na maombi yoote nimefanya mtandao umenisaliti nimekosa selfie ya mzungu wetuu😭😭😭😭😭😭Asante madam ❤️
Yaani hapa nalia machozi wallah😭😭😭😭😭😭😭😭 yaani napata uchungu usioelezeka kuikosa selfie yako madam😭😭😭😭😭😭😭Akija utamwambia niliweka
Umepotea snSijambooooooo Dr
Na wewe una deni langu jana umesubiri nimesinzia ndo ukaweka nakedOyaa usijejitundika bob 😅😅😅