cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,173
Hapo sasa, weuweeeeeeeeh,Nakuletea shoss wewe teinaaaaaaaaaa!! Sema kingine!!





Hapo sasa, weuweeeeeeeeh,Nakuletea shoss wewe teinaaaaaaaaaa!! Sema kingine!!





Yaan acha tyuuh shouzzzz, fundi kajua kunikomeshaaa, yaan kanipiga panapoumaaWeee jamani ulivoisubiria hio nguo kwa hamu sasa shogangu mbona mambo tafrani!!!!





🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwerii shosss! Mambo si mambo!!Khaaaah wee thubutuuuu, sio kwako hapana nakataaa.![]()
Weee nilikuwa nasubiri leo kwa hamu picha za ule mshonoTangu jmos namuambia kuwa leo asubuhi naenda kuchukua nguo, tukakubaliana fresh, kheeh leo asubuh ananipigia cm eti yuko mtwara msibani, nkamuambia km ipo tayar bas hata mwanafunz wake atanipa, kheeeeh eti hajamaliza kushona, nkaona ni utan, kwenda pale nakuta pamefungwa, nimechoka hapa hoiiii.
Akija sikupatii picha utavompa walai ameleta usee sana!!!Yaan acha tyuuh shouzzzz, fundi kajua kunikomeshaaa, yaan kanipiga panapoumaa![]()
Na wewe tunasubiri ile selfie umemisika sana bestWeee nilikuwa nasubiri leo kwa hamu picha za ule mshono
Yaniii acha kabisa!!!Fundi kajua kutukomesha mbona!Weee nilikuwa nasubiri leo kwa hamu picha za ule mshono
Usiku nilisinzia nilikosa ile naked nimeambulia za uso tu nasubiri hapa aunt fanya mamboLeo sikukuu kaa hapohapo natka kupita naked 😂
Sikukuu kesho shangaziiii, mmmmh acha uchoyo kesho nakuja kula pilau.Leo sikukuu kaa hapohapo natka kupita naked![]()





Ipi hiyo bossNa wewe tunasubiri ile selfie umemisika sana best
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Nitakutafuta nikitulia shos angu saivi nimetingwa Kidogo mamy!!😘😘😘😘Toka hapaaaa, sitakiiiiii![]()
Subir ninywe chai auntUsiku nilisinzia nilikosa ile naked nimeambulia za uso tu nasubiri hapa aunt fanya mambo
Yaan mwenyewe alipaniaYaniii acha kabisa!!!Fundi kajua kutukomesha mbona!
Ile nzuri ambayo hujatupia hapaIpi hiyo boss
Niliwamiss pia jamani
Kaniambia eti anarud keshokutwa, alhamic ndo nkachukue, sasa tukio linapita leo, km vipi ntaweka had Itapotokea tukio lingine.Weee nilikuwa nasubiri leo kwa hamu picha za ule mshono





Achaaa!!Pozi lote limeniishia hapa!Yaan mwenyewe alipania
Nasis tukawa tunasubir tuoneo atakavyo wakaa
Yaan huyu Fundi sijui hata amewaza nn, kweli miezi miwili khaaaah.Akija sikupatii picha utavompa walai ameleta usee sana!!!
!! Nitakutafuta nikitulia shos angu saivi nimetingwa Kidogo mamy!!
![]()




utingwe na nn? Huna lolote,