Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,407
Cc Msubhate
Hapa sawa jirani yangu![]()
Hapa sawa jirani yangu![]()
Hapana mkuu wanguAisee nini.
Hahhaha najua unajua vile umenichekeshaMbona kicheko Jirani![]()
Nisamehe mno ila apa ni chit chat afande
Weka na kufuta mbona mm niliweka jina lake nikafutaDaah niliweke hapa?? Kwani yeye form one alisoma shule gani na ilikuwa mwaka gani?? Akiweza kutaja hivyo tu basi nitajua kama ni yeye au siyo yeye!!
Baridiiiii![]()
Wateja wapo kwenye maombi niseme tu sio kila aneenda kwenye hizi nyumba za huduma ana nia mbaya View attachment 1254946
Mkuu usiku wapi
Nipo kitandani bossMkuu usiku wapi
Hahaha nina cha kusema basi Jirani..Hahhaha najua unajua vile umenichekesha



Hiyo mkuu hapo sio kitandani naona uko viwanja.naona vijana wanakusumbua sana hawajui wewe ni mstaafu wa miaka sitini hujawambiaNipo kitandani boss
Unanikumbusha mbali sanaHizi ndo zetuView attachment 1254910
Hahaha nina cha kusema basi Jirani..
U made my day aisee![]()





Hiyo picha ya juziHiyo mkuu hapo sio kitandani naona uko viwanja.naona vijana wanakusumbua sana hawajui wewe ni mstaafu wa miaka sitini hujawambia