Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,934
Acha bass kunitukana bass Bibie
Cha zima moto afande
Cha zima moto afande
Mmmh, si kweli ,hata siamini, hebu ' Twanga fotoo'Sina bwana



uwii majina yake ya mwisho sasa ndiyo siyajui ila kwa kifupi nilimjua kupitia mdogo wangu ndiyo alikuwa rafiki yake wao walikuwa darasa moja sasa labda uniambie huyo o level amesoma shule gani na kama kwa sasa anasoma au la
Shunie yupi umsemaye huyu nimjuaje Shunie Charles Grabaya au majina yamefanana
Hizi ndo zetuView attachment 1254910
Hahahaha, maradhi yangu yale yale nisipokuona moyo waenda mbioUlikua unaumwa nini kwani we mzee
hapa chit chat unabadili gia angani ila kule mmu ndiyo story zako hizo
Hizi ndo zetuView attachment 1254910
Mbona uliniambia ulisoma nae sec jamani apa tena unaniambia kasoma na mdogo wakouwii majina yake ya mwisho sasa ndiyo siyajui ila kwa kifupi nilimjua kupitia mdogo wangu ndiyo alikuwa rafiki yake wao walikuwa darasa moja sasa labda uniambie huyo o level amesoma shule gani na kama kwa sasa anasoma au la



najua hutaki kuniambia tu mimi
Nimeiba picha ya watu mimi hata siwajui
Haha ni kweli taratibu basii .mi niliyaacha nyuma hayo ktambo sema siku hzi upitipitii kule ungeona sizungumzii tena
Nimeona kuna picha ulituma ukafuta haya fanya mpango kabla sijaja huko chemba



SawaNikija bongo naomba niandalie kikopo kimoja
Kwahiyo nikuamini tu jirani yanguMie na wewe Jirani ni ukweli tu uongo mwiko
Nisamehe mno ila apa ni chit chat afandeAcha bass kunitukana bass Bibie