Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Elezea
Ushaiona ile.
Ushaiona ile.
Ooooh!nikisema hapa atajijua wakati nilikana
Guess location View attachment 1254874View attachment 1254875
Yameanza lini we mzee jamaniHahahaha, maradhi yangu yale yale nisipokuona moyo waenda mbio
Kweli bwana ebu niamininajua hutaki kuniambia tu mimi
Khaaah!lipi mama?? Hili pumzikio??
Ooohndiyo,, mimi na mdogo wangu tuliwahi soma shule moja wakati niko form three yeye alikuwa form one ndiyo walikuwa marafiki na huyo Shunie ambaye naye alikuwa form one na nilimjua huyo Shunie kupitia mdogo wangu
Kweli bwana ebu niamini
Endelea tu kuniamini Jirani yanguKwahiyo nikuamini tu jirani yangu
Juzi ulitugeuzia kishundu auntie.
Juzi ulitugeuzia kishundu auntie.


Nimecheka mimi kwa kishundu gani sasa
Fanya kuja tu jirani siwezi kukuangusha kwa hiloImeshindikana jirani ebu fanya msaada wako
Ebu nenda kwa dada basiFanya kuja tu jirani siwezi kukuangusha kwa hilo
Kile kile auntie, si habaNimecheka mimi kwa kishundu gani sasa
