Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493




Sio kwa kazi uliyoifanya jamani pole mno kwa kukuchosha jirani yangu



loh kama najiona nilivyo kwenye hilo kundi la tatu
Nina HESHIMA kubwa sana kwenye huu Uzi.. Umepunguza pakubwa mno kejeli kwa dada na mama zetu hapa jukwaani.. Lakini pia tumeshuhudia visu, nyembe na mundu...BTW huu ni uzi pekee wenye real time pics
Mambo ni mengi muda nao hautoshi shemMbona uliniambia ulisoma nae sec jamani apa tena unaniambia kasoma na mdogo wako
Cha utamu specialFashion yake ni kaba shingo..
Kwa hiyo mkuu 2012 ulikuwa form 3 ????????ngoja tufanye hivi muulize form one alisoma tusiime mwaka 2012?? Jibu likiwa yes basi ni yeye ila kama ni no basi siyo yeye!! Na jibu likiwa yes nitamtajia jina la mdogo wangu nijue kama anamkumbuka..
Papo wazi shem ?Weeh shem sema kweliii ebu fanya ukuje basi
Naomba majibu
Hapana kidume cha mbeguMnazareth ni mdada ?
Hatari sanaMundu... CC : @karmaView attachment 1255037
....mundu plus jambia😁Nina HESHIMA kubwa sana kwenye huu Uzi.. Umepunguza pakubwa mno kejeli kwa dada na mama zetu hapa jukwaani.. Lakini pia tumeshuhudia visu, nyembe na mundu...BTW huu ni uzi pekee wenye real time pics
Huyu mkubwa jamani huo mwaka alikuwa chuo
Siyo huyo nimemaanisha yule rafiki wako kasemaje?? Au ndiyo umeshasahau tulichokuwa tunaongelea??
Hahaha nani huyoKumbukumbu anazo mpiga picha
Mambo ni mengi muda nao hautoshi shem




Shem bwana uzi wenu huu mnauweza wenyewe😆😆😆AiseeeMundu... CC : @karmaView attachment 1255037
Ndio ndio shem kwa ajili yakoPapo wazi shem ?
Mimi ni nani nikubishie kakaNina HESHIMA kubwa sana kwenye huu Uzi.. Umepunguza pakubwa mno kejeli kwa dada na mama zetu hapa jukwaani.. Lakini pia tumeshuhudia visu, nyembe na mundu...BTW huu ni uzi pekee wenye real time pics