Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Naanzaje kukuchunia dear 😍Mimi ananichunia
Hivi una mpango wa kugeuka lini?Kama nakuona

Furushi habari za jioni.
Uko bia ya ngapi pampula?Nzur bibie atoto
Yuko wapi kwanza! ??Ebu mwambie anitumie
Hebu fanya kugeuka Jirani...
Kudadekii walah !! Yalaah
Umefurahi baada ya kupiga chabo😁😁😁Umetubariki sana jioni hii![]()



haya mambo haya doh
Kwahiyo huyu nani sasa jamani mlivyomgoogle ukomnatuchanganya
Uko bia ya ngapi pampula?



lakini Hannah aliwahi kusema kwamba picha ya mtu kuwepo google haimaanishi kwamba ndiyo siyo yake,, pia yawezekana labda kazitoa kwenye account yake mwenyewe ya instagram kazileta huku..
Mimi ndio mana situmi picha za watu jamani naogopa watu kwenda google
Hujui tu nimechukua muda gani kuivizia hatimaye kwa mbinde nimeionaUmefurahi baada ya kupiga chabo![]()





