Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wanajua sema wanajitoa ufahamu.. na ulimwenguu huu wa uber ukakae unashoboka kisa aliyekuja ku approach kaja na LC LX?
Ni ukichaaa [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ya kweli haya???
 
Kwann wazee wasipambane na wazee wenzao?? Khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukija kuzeeka utajua....

Ni yale yale...

Sigara zinasababisha kansa...

Badala ya kulaumu wavutaji lawama zote yanabebeshwa makampuni ya kutengeneza sigara....

Utafikiri yanawakamata wavuta sigara na kuwavutisha kwa lazima....[emoji51][emoji51][emoji51]
 
Ukija kuzeeka utajua....

Ni yale yale...

Sigara zinasababisha kansa...

Badala ya kulaumu wavutaji lawama zote yanabebeshwa makampuni ya kutengeneza sigara....

Utafikiri yanawakamata wavuta sigara na kuwavutisha kwa lazima....[emoji51][emoji51][emoji51]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babu umechachuka leo, umekula nn?
 
[emoji16][emoji16][emoji16] kuacha materials kabisa ni ngumu maana hizo materials ziko za aina nyingi. ila hizo mambo za magari sijui mshikaji ako na pesa.. ni za watoto kina Coca
Wala hata mie mbna sifagilii, nikimpenda mtu nimempenda, na huwa nazama haswaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuringishia naweeh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo utoto huo wakikua wataacha,

Kama nilivyo mie siwezi ringishia eti na date na babe ana biashara,kazi,pesa,gari na majumba wakati hazinihusu,

Unaringisha na haujawahi ulizwa idea yako ya biashara ni ipi?? na upewe pesa ngapi uanzishe business[emoji23][emoji23]

Unaishia kutembelea matako na kuulizwa utatakula chipsi kuku au??
 
Back
Top Bottom