Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuringishia naweeh,
Ndo utoto huo wakikua wataacha,

Kama nilivyo mie siwezi ringishia eti na date na babe ana biashara,kazi,pesa,gari na majumba wakati hazinihusu,

Unaringisha na haujawahi ulizwa idea yako ya biashara ni ipi?? na upewe pesa ngapi uanzishe business

Unaishia kutembelea matako na kuulizwa utatakula chipsi kuku au??
 
Back
Top Bottom