CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,066
- 7,650
Sema simjui jina wala course yake,, ila yupo mmoja wa kike alitaka kujiua, kisa mwambaCoet sio class letu lakini utalizwaa.
Ila UD jomoneeeeh uwiiiih.
Sema simjui jina wala course yake,, ila yupo mmoja wa kike alitaka kujiua, kisa mwambaCoet sio class letu lakini utalizwaa.
Ila UD jomoneeeeh uwiiiih.
Nshawapanga watu kwamba oi kama hutaki magonjwa ya moyo nenda zako TIA, NIT, KIU, au kairuki huko, hivi vijukuu vya anangisye hamviwezi





UD ya moto jomonee khaaah.Mapenzi ni nyokooooooh mate.Sema simjui jina wala course yake,, ila yupo mmoja wa kike alitaka kujiua, kisa mwamba






Mshaanza ujambazi,,, aaaah sasa hv ni route hadi uhasibu,, kwanza kuna pisi za kwenda kuliko UDCoet sio class letu lakini utalizwaa.
Ila UD jomoneeeeh uwiiiih.
Dogo mzima?Sema simjui jina wala course yake,, ila yupo mmoja wa kike alitaka kujiua, kisa mwamba
Shangazi baki bhanaa,Waungana niwatakie usiku mwema
Wenye ibada mjitahidi kuwahi Misa ya kwanza mkasali
Goodnight




Hayo magari yanawasaidia nini??dents wa UD unawajua? Wanakuambia kudate na mtu hana gari ni matumizi mabaya ya mahusiano
Dah shida hapodents wa UD unawajua? Wanakuambia kudate na mtu hana gari ni matumizi mabaya ya mahusiano

Pigo za watoto wa collage,, wakulungwa kama sie gari ni lako na halihusiani na mapenzi yetuNyingine hazina SU or STK zina namba za kawaida na mnaingia mkemge…
Mkipigwa tako tatu mnalalamikaWanashindana na walipotoka.
Wanataka kurudi kwao.

Wameyaanza chuo acha yawaendeshe,, cukua popcorn utulie uangalie pichaMapenzi ni nyokooooooh mate.![]()
Wasichomeke na juaHayo magari yanawasaidia nini??
Toka hapa Hakuna chuo kuna warembo km UD, ila kiboko IFM mweeh sio wakaka wala wadada wote ni pisi za kwendaMshaanza ujambazi,,, aaaah sasa hv ni route hadi uhasibu,, kwanza kuna pisi za kwenda kuliko UD






, UD tuna class yetu bhana, usitufananisheHello dear,,i am doin alright, how are you,,?Dogo mzima?
Hunisomi how?
Tunataka kupumuliwa na kuhemewa.Mkipigwa tako tatu mnalalamika
Kanichafua
Likichezwa sakayonsa mnanung'unika
Mnashindana na mlipotoka
Hivi mnatakaje![]()








Tunataka aste astee… uwe nusu ya hivyo ulivyoandikaMkipigwa tako tatu mnalalamika
Kanichafua
Likichezwa sakayonsa mnanung'unika
Mnashindana na mlipotoka
Hivi mnatakaje![]()