Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,342
Wanaume wanatakiwa waelewe hii kitu, wengi wanadhani kila mwanamke anashobokea gari kumbe sio.Pigo za watoto wa collage,, wakulungwa kama sie gari ni lako na halihusiani na mapenzi yetu
Wanaume wanatakiwa waelewe hii kitu, wengi wanadhani kila mwanamke anashobokea gari kumbe sio.Pigo za watoto wa collage,, wakulungwa kama sie gari ni lako na halihusiani na mapenzi yetu
Mie huwa nawazoom tyuuhWameyaanza chuo acha yawaendeshe,, cukua popcorn utulie uangalie picha






Utoto,wakikua wataacha,dents wa UD unawajua? Wanakuambia kudate na mtu hana gari ni matumizi mabaya ya mahusiano
Chuo chenu hicho ni balaaAcha kabisaa yaan.![]()
Nenda TIA uone show,, oyaaaa sio poa, kuna pisi nyieeeeee,, kile chuo ni balaaa,, (udbs)²Toka hapa Hakuna chuo kuna warembo km UD, ila kiboko IFM mweeh sio wakaka wala wadada wote ni pisi za kwenda
, UD tuna class yetu bhana, usitufananishe
Pigo za watoto wa collage,, wakulungwa kama sie gari ni lako na halihusiani na mapenzi yetu
Yes dia niko good, za weekend??Hello dear,,i am doin alright, how are you,,?
EehUliona wapi gari bovu ikavuta gari bovu
Utasikia "mdada ukivaa ID ya UDSM jua wee uko class ya peke yako hapa nchini" usikiangushe chuoChuo chenu hicho ni balaa






Jau tu,, more studying less movies,, basi inaboa kinyamaYes dia niko good, za weekend??
Nenda TIA uone show,, oyaaaa sio poa, kuna pisi nyieeeeee,, kile chuo ni balaaa,, (udbs)²




ndo unajipozea huko, hapo wadada wa huko wanatamani wawepo UD.Mnakera na ma ID yenu hadi mwengeUtasikia "mdada ukivaa ID ya UDSM jua wee uko class ya peke yako hapa nchini" usikiangushe chuo![]()


Kabisaaa.Utoto,wakikua wataacha,
Maana haina faida.
Wanajua sema wanajitoa ufahamu.. na ulimwenguu huu wa uber ukakae unashoboka kisa aliyekuja ku approach kaja na LC LX?Wanaume wanatakiwa waelewe hii kitu, wengi wanadhani kila mwanamke anashobokea gari kumbe sio.
Hivi pepa hamjaanza nyie?Jau tu,, more studying less movies,, basi inaboa kinyama
Nishapiga moja janaHivi pepa hamjaanza nyie?
Mnakera na ma ID yenu hadi mwenge![]()





nimekumbuka kitu hivi au bas. Jomoneee UD ni balaa.