cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Yup,, Ukikuwa utajua.
Mie Manual siijui
Imagine ndio niijue… nianze kudrive ma Lc/ hilux ya ofisi
Eti kesho kutwa Gallius aje na Taqo lake la nyani nipate kiwewe!!!
Hiko sio kichaa??
Dogo you’ve to understand suala la Mwanaume kuwa na hela na kuwa supportive kwako.
Mambo za mashost wakuonee gere kisa Vanguard imekuja kukuchukua geti la chuo ni ukichaa![]()







nataman hata wawe wanasoma hapa, maana daaah. Ni hatareeeeeh.



