Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,833
Hahaha kumbeWewe ulifanikiwa hadi ku quote, mimi hata like tu nilishindwa nikaambulia manyoya
Imefika mahali yakeTulia mama mi ni wako nakupenda sana
Usihangaike, usibabaike
Na wale maadui nataka wabaki na aibu
We ni wangu, mi ni wako mpenzi wangu
Embu punguza maringo na mapozi nakupenda
We ni wangu, mi ni wako mpenzi wangu
Darle punguza maringo na mapozi nakupenda [emoji441]
Tulia braza🤣🤣🤣Imefika mahali yake
Leo ni nomaa
Eeh poleniJamani hivi kwann wanatufanyia hivi?
Eeh na mie nitabadiri soon [emoji16]
Makande na ugali kweli??😳😳Unakula mboga tupu au kuna ugali pembeni?
Fara faraji, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weraaaah.[emoji108][emoji23][emoji126][emoji126][emoji126]
Hasa mwendokasi za kimara - posta. Kuna wakaka hao, heeeyaaah!!Dah! Kina mama hawa [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilivoona Amarula nimecheka.Ngoja nimalize kumwagilia moyoo View attachment 2278425
Mwenzio nazisaga napata juisi tamu[emoji23][emoji23]Fara faraji, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikishiba napaka mdomoni inakua km [emoji168].
Kumekuchaaaaa!!!Its friday yoo[emoji4]View attachment 2278514