Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwenyewe nina muda sijavaa Kitambaa, ila Kuna wakati mazingira yanalazimisha.

Kuna siku tulikuwa na kikao mahala Fulani, that day nilivaa jeans [emoji158] unfortunately mwenyeji wetu alikuwa boss namba 3, so nilikimbia maeneo ya Mjini faster nikatafuta suit nikatinga kuendana na mazingira [emoji2957]
Ila kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilivaaga suti balozi akapiga mayowe nikataka nipewe mke toka siku hyo sitak kusikia Habari ya suti

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Ila kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilivaaga suti balozi akapiga mayowe nikataka nipewe mke toka siku hyo sitak kusikia Habari ya suti

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Kwahiyo ukaogopa kuozeshwa ndoa ya Mkeka?

Shida ya suit ni kuitwa Kiongozi wakati mfukoni hakuna kitu 🤪
 
Back
Top Bottom