Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwenyewe nina muda sijavaa Kitambaa, ila Kuna wakati mazingira yanalazimisha.

Kuna siku tulikuwa na kikao mahala Fulani, that day nilivaa jeans unfortunately mwenyeji wetu alikuwa boss namba 3, so nilikimbia maeneo ya Mjini faster nikatafuta suit nikatinga kuendana na mazingira
Ila kweli nilivaaga suti balozi akapiga mayowe nikataka nipewe mke toka siku hyo sitak kusikia Habari ya suti

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom