Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Sukari kiasi tuUnatia sukari sasa au?
Ona sasaUselfike tumekumiss
Bas vyedi binamu.Nashukuru Mungu niko poa kabisa![]()
Au ametelekeza ac na kufungua ingine..Yeah,hayupo kwa miaka miwili sasa
Oooh hapo sawaah.Sukari kiasi tu
Kwa
Upendo tu

Aisee nimechelewaOna sasa
Nilikumiss pia mwaya 😊😊Aiseeeeeeeh mwenyeji, nimekumiss hadi naumwaaa.
Nani alikuficha? Au ulisepa Bongo?![]()
Jiraniiii...hufichiki kweli?Nilikumiss pia mwaya 😊😊
Wakunificha mie bado hajazaliwa 😉😁 Nilikuwa busy tu na kazi!
Safiii sana
Uko vizuri..
Rudia rafiki
OnaRudia rafiki
Ktk ubora wakoKifuani hapo ndyo nachokaga kbsa yani JF nzima sijaona pisi kali kama hii
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Poleeee mwaya 🤣🤣🤣🤣Umepotea sana,nusu nife na njaa![]()