cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,106
- 181,182
Aiseeeeeeeh mwenyeji, nimekumiss hadi naumwaaa.




Kifuani hapo ndyo nachokaga kbsa yani JF nzima sijaona pisi kali kama hii
Mwenzio nazisaga napata juisi tamu
hiyo kitu nimefanya sana![]()



nazila hivo hivo, nikishiba napaka mdomoni. I love it...
Uko salama shangazi?
Umepotea kidogo
Imefika mahali yake
Leo ni nomaa





SafiiiNiliwamiss humu.... 🙃🙃View attachment 2278583
We acha tunazila hivo hivo, nikishiba napaka mdomoni.
Aseeeeh hapo utapata juice ya kwenda, sasa ungetafuta na jam jam.

Niko poaaaah mzungu wangu,Miss u more bina mrembo...
Natumai uko poa![]()




Duh...kweli kupotea sanaNimemkumbuka member Hawachi
Nimeangalia last seen yake ni 2020...hope yuko poa huko alipo
Yeah,hayupo kwa miaka miwili sasaDuh...kweli kupotea sana
Unatia sukari sasa au?We acha tu![]()
Niko poaaaah mzungu wangu,
Hope nawee uko fresh.

Shangazi wetuNashukuru Mungu niko salama kabisa
Majukumu yabana mjomba
Natumaini unaendelea vizuri..

Uselfike tumekumissAbee