Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Iko poa sana dahh mm Mara ya mwisho kuvaa surual ya kitambaa sijui lini
Kuna siku bi mkubwa wangu alinunulia shati la kinigeira lina rangi rangi kama batiki yani alikuta nimempa x wangu kavaa afu tunaingia home tu nilikimbizwa na mwiko sitasahau

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Mwenyewe nina muda sijavaa Kitambaa, ila Kuna wakati mazingira yanalazimisha.

Kuna siku tulikuwa na kikao mahala Fulani, that day nilivaa jeans 👖 unfortunately mwenyeji wetu alikuwa boss namba 3, so nilikimbia maeneo ya Mjini faster nikatafuta suit nikatinga kuendana na mazingira 🤪
 
Back
Top Bottom