Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,150
- 28,864
Sijui Kwa nini Depal ananichukia kiasi hikimwee jamani hayo anapaka yoyote hata mtu mzima hayabagui. Nimecheka

Sijui Kwa nini Depal ananichukia kiasi hikimwee jamani hayo anapaka yoyote hata mtu mzima hayabagui. Nimecheka

Certified haterNarudia tena

..Huu mwaka Hadi unaisha I'd yangu itakuwa ina matobo matobo mengi sn Kwa kusemwa na weweNjoo uchukue Mjukuu, Leo nimekuja Samaki Samaki 🙈🏃Babu na me naomba😋
Hahahaha lakni Nazi ni chakula haina Noma..Mimi nishawahi kuambiwa nanukia chapati,nikajinusaaa alafu nikasema itakuwa kweli![]()

😄😄😄 mjomba wacha kunichoraaa , mie na wewe bado tunatembelea miguu.. ukifika mda wa kutembelea matako tutakutana kwenye vituo vya mafutaAnkoli hapa ndy umeshuka kwenye gari umeenda kukojoa mkojo kisha uendelee na safari eeh
Si unipe mbinu ya kumiliki ndinga na Mimi ?
Kachumbali Sawa,Ila samaki sijawahi kuweza Kula Kwa kurumagia hata siku moja..mara zote samaki wanaisha, ugali unabakiNakuja na kachumbari + samaki wakavu.
Aisee....sikujua jiranibikra nyie hamna taste 🙈
Naona dagaa wapo mtoni badoKachumbali Sawa,Ila samaki sijawahi kuweza Kula Kwa kurumagia hata siku moja..mara zote samaki wanaisha, ugali unabaki
Njoo na kachumbali,mboga ipoView attachment 2276495

Selfika nikuone basi,, mkaka handsomeCertified hater..Huu mwaka Hadi unaisha I'd yangu itakuwa Una matobo matobo mengi sn Kwa kusemwa na wewe
Ndiyo ushajua jiraniAisee....sikujua jirani
😘😘😘View attachment 2276493
Proudly sponsored by Wajukuu 🤪
😂 😂 😂 Sawasawa..Kachumbali Sawa,Ila samaki sijawahi kuweza Kula Kwa kurumagia hata siku moja..mara zote samaki wanaisha, ugali unabaki
Njoo na kachumbali,mboga ipoView attachment 2276495
Ndy tatizo lenu wenye maisha..Hampendi kutushirisha kwenye mbinu zenu Hadi mkafanikiwa,ili na Sisi tulambe asaliNikupe mbinu ya kumiliki gari ilhali mwenyewe sina gariebu acha utani



Sio kila fundi garage ana gari, na sio kila ukimpenda mwanamke anakuwa wako. Nayapenda tu magari, siku moja nikipata na mie pesa nanunua langu.. nitapost na vi picha labda naweza pata mpenda magari ,😄😄😄😄 maana najua Depal anapenda muungurumo kama wa simba.. akisikia muungurumo atanifikiria kidogoNdy tatizo lenu wenye maisha..Hampendi kutushirisha kwenye mbinu zenu Hadi mkafanikiwa,ili na Sisi tulambe asali
Ila nakuona kwenye nyuzi zote za magari ankoli unatoa nondo za maana..Yule jamaa wa kukataa kununua gari used za mzungu ambazo ni used from Japan sijui mlimalizana vipi ktk vita yenu,maana kila mmoja alikuwa anakaza fuvu hataki kumuelewa mwenzie![]()
Ongeza na juice ya Rozelle,damu itapanda Kwa haraka zaidi.Mimi ninayo ndani natumia mara Kwa maraKumbe nipo kwenye Raiti trakii
Damu yangu imeshuka sana.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

Nakuja babuNjoo uchukue Mjukuu, Leo nimekuja Samaki Samaki 🙈🏃
kanakudanganya, hapo kananitamani kweli kweli kanionje na mie na mtunzia mke wangu 😄😄😄😄Aisee....sikujua jirani