Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,230
Wala hata,, magari mnaya overrate sana kwenye suala la mahusiano na wanawake.sema tu ikawa kituuu... wenye magari wanafaidi 🥲🥲🥲
Wala hata,, magari mnaya overrate sana kwenye suala la mahusiano na wanawake.sema tu ikawa kituuu... wenye magari wanafaidi 🥲🥲🥲
Hujachelewa jiraniOh! jirani nimechelewa nini..
Me mawazo yangu mazuri sana mbona😃mawazo yako tu 😄😄😄
Nakujaaaa soon.Nimekuwekea aunt
Nawafitinisha tenaWeee wakipatana yatakushukaaa staki mimi



Vifo vya kujitakia 🤣🤣Sema watu wivu utawaua
Nibakishie nakuja jirani...Hujachelewa jirani
Kabisaaa, mtu ukimpenda hata awe maskini unakua name tyuuh.Wala hata,, magari mnaya overrate sana kwenye suala la mahusiano na wanawake.







Asante Kwa taarifaWasiliana watu wa Orflame ni products zao.
Sidhani kama inafika 200000
mm! ivi sio wewe ulinikataa kisa nimeshuka na bajaji.. wanawake mkiona mwanaume hana gari mnaona kaisha fail maisha hasa kama sie tunao elekea miaka 50 ya ukombozi.. mntudharau sanaWala hata,, magari mnaya overrate sana kwenye suala la mahusiano na wanawake.
Jirani wewe huna wivu...mbele ya Brevis jirani😀😀Vifo vya kujitakia 🤣🤣
Me mawazo yangu mazuri sana mbona😃
Yah nimepikaChapati zinavutia sn..Wewe ndy mpishi?
Huu mwandiko umejaa masikitiko..pole sana.kipenziii kwann umeulizaaa? Nilikosea sana si unajua utoto tena nilileta penzi la kiselaa, afu hatukuachana vizuri, nilitibua mnoo, daah ukubwa huu ndo najua nilikua nipo wrong.
Namtakia maisha marefu na baraka telee yule mwambaa, sidhani km itatokea tena tukawa Pa1, maana cna mawasiliano almost 1 yrs now.
Hakika dearKabisaaa, mtu ukimpenda hata awe maskini unakua name tyuuh.
Uki fall kwenye love ni ume fall.![]()
Nakuingiza kwenye maombi🤣🤣🤣🤣
Nianze sasa kununua pafyumWanaonukia perfume wanakua hotter zan.......![]()
si umeona mapango ya amboni hayo au huoni 😄😄😄Nakuingiza kwenye maombi🤣🤣🤣🤣
😂 wewe mbayaaNawafitinisha tena