Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Nilikua na hela ya kununua chupa kubwa sasa ningefanyajeNguvu gani hapo unapata kama sio kujaza miskuri. Coke tamu ila unywe kwa hamu tuu na kachupa kadogo kama hakaView attachment 2276377
Nilikua na hela ya kununua chupa kubwa sasa ningefanyajeNguvu gani hapo unapata kama sio kujaza miskuri. Coke tamu ila unywe kwa hamu tuu na kachupa kadogo kama hakaView attachment 2276377
hiiiii kweli acha mbaki kuwa mashemeji.. tushazoe vi marashi vya pemba buku mtoto ananukia safiii.. hizo manukato za laki mbilii unashiba 🙂🙂🙂Wasiliana watu wa Orflame ni products zao.
Sidhani kama inafika 200000
😅😅😅😅ni utani tu loh!!Kuna perfume ya brevis? Sijui
We Umeona perfume ukamkumbuka..
Nikareply mie nilipanda lift ya brevis
😂😂😂 sijapenda imetokea tuGhorofani sio 😂😂😂😂
😂😂😂mimi mjusi sipendagi hekahrkaKaribu kwenye msafara wa mamba wee ukiwa kma kenge🤣🤣🤣🤣
kwa siku nakunywa peps mojaPepsi ipo addictive mno
Nashukuru nimeikwepa
Point haiko kwenye aina za magari!😅😅😅😅ni utani tu loh!!
Sidhani kama ipo.
Sasa fanya mpango upande discovery.
Sijui kwanini vitu vizuri vinakuwa na tabia ya kustic akilini 😅😅loh
Kwani ilikua lazima utaje utelezi na shimo jamani😂😂Utelezi ule ule, shimo lile lile tofauti kidogo tu.. so hamtupi pressure
Kumbe una mihela....dah wewe utakuwa super womanNilikua na hela ya kununua chupa kubwa sasa ningefanyaje
😂😂😂😂 sawa wakishua😂😂😂 sijapenda imetokea tu
sema tu ikawa kituuu... wenye magari wanafaidi 🥲🥲🥲Point haiko kwenye aina za magari!
Shida ni memories za hiyo brevis! Only that!..
Sema watu wivu utawaua
Uwe unanisalimia sasaRafiki mboga saba na mimi wapi na wapi. Mboga moja tu muda mwingine tunapiga deshi maisha yanasonga.
Inunue kwanza unialike nije nikusaidie kuinusa
keep it coming miss,, i am all ears
1. Perfume kali
2.
mawazo yako tu 😄😄😄Kwani ilikua lazima utaje utelezi na shimo jamani😂😂
KaribuNakuja chap, ngoja nipande mchomoko hapa, dk 40 tu nitakua hapo
Discovery niliwahi isukuma toka Dar had Chuga, afu nilikua peke yangu, yule mwamba alikua ananiamini mnoooo.ni utani tu loh!!
Sidhani kama ipo.
Sasa fanya mpango upande discovery.
Sijui kwanini vitu vizuri vinakuwa na tabia ya kustic akiliniloh
Nichekeshe tenaAah namuambia ukweli rafiki yangu hapo![]()
Ooh vyemakwa siku nakunywa peps moja
Nimekuwekea auntShangazi naombaaa chapatiiiii.![]()