cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
Nsha solve mwenyeweee, hilo lisikupe shida, wee c ulisema utakua hapa leo wee?haya weka picha ya desa tukusaidie ku solve hapa ,![]()
Nsha solve mwenyeweee, hilo lisikupe shida, wee c ulisema utakua hapa leo wee?haya weka picha ya desa tukusaidie ku solve hapa ,![]()
Umeona connection ya baunsa? Wanaume wameisha, hata usiowategemea mwayaaa, nao wako ndani ya industry,
Mbavu cna hapa lol.

baunsaTena mbavu nene, six packs hadi unaogopa, hilo uno analokatia ukuni, mwanamke anakaa chinu kuchukua notes.baunsa













Sasa nimekuuliza wapi leo na wewe una nata nata kama bao .. mie nimekupa hadi code.. chaka langu kule juu unaupita msikiti unakuwa kama unaenda kanisani.. napakigi kule nalala nasubiri kuwapa lift wanafunzi wanaotokea hostel 😄😄😄😄Nsha solve mwenyeweee, hilo lisikupe shida, wee c ulisema utakua hapa leo wee?
Hahahah sshv kumepoa chuma hakipoDah! Umenikumbusha mbali sana, kuniambia chato.. I wish niwe kipande hicho . mida kama hii naingia hapo natoka paka geita mjini nime miss sana huo ukanda
Chief chief chief.. tupia basi lile jicho kichaa wako nifurahi hapa 😄😄Ahsante, na kwako pia.
Siku nyingine usirudiehuu hapa hata Co umbea, ni vile nilingilia penzi la watu, mie niliombwa ushauri, kosa langu nn sasa.
Ila watu daaaah.![]()
wakipatana unaonekana mbaya weweWa serengetikidogo tu haoooo wa korea 😄😄😄😄
Tena mbavu nene, six packs hadi unaogopa, hilo uno analokatia ukuni, mwanamke anakaa chinu kuchukua notes.![]()


hee hatari😄😄😄 Nimekumbuka sana hayo maeno but soon nitakuja hata kutembea tu
unawapenda wakiingia eeh!Wa serengeti
My dia badae badae nashindwa kujifotoa hapa nilipo. Mambo yako vipi lakini??Chief chief chief.. tupia basi lile jicho kichaa wako nifurahi hapa![]()
Karibu sana Sema siyo Muda natembea huku narud zangu townNimekumbuka sana hayo maeno but soon nitakuja hata kutembea tu
Nyundo la utosi 🤣🤣🤣🤣
Nyie na hizo pisi zenu za buku ndio mnasababisha corona isiishe nchini
hata za zamani zamani kama zipo.. 🙂🙂🙂. mambo yapo tu siku haindei paka mda huu bado mpira ni bira biraMy dia badae badae nashindwa kujifotoa hapa nilipo. Mambo yako vipi lakini??
🙃🙃unawapenda wakiingia eeh!
ahaa! mie huwa napenda haya maeno ukanda huo hata kutembea tembea tuu .. maana kama sasa hivi sina issue huko ila nitaenda kutembea tuKaribu sana Sema siyo Muda natembea huku narud zangu town
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Utasikia aiii weeee.. au niweke ka voice 🙂🙂🙂
Kwanza nimekununiahata za zamani zamani kama zipo... mambo yapo tu siku haindei paka mda huu bado mpira ni bira bira
Siku nyingine usirudiewakipatana unaonekana mbaya wewe





yaan nachambwa huko, hadi baas, afu sasa mwanaume ndo anaetokwa povu lote hili.