Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
kidogo tu haoooo wa korea 😄😄😄😄Pundamilia wee 🤣🤣🤣🤣🤣
kidogo tu haoooo wa korea 😄😄😄😄Pundamilia wee 🤣🤣🤣🤣🤣
Hatutaki bana,, unapost magari kwani hapa ni uwanja wa trafiki 😂😂
Nipo hapa nashangaaNimekumiss mlongo

😉😉😉 wakubwa mna rahaa..Yaani hata nione wala sishtuki![]()
Amen jiraniAmen mkuu, barikiwa pia!
Ulifichwa jmn karibu tenaNipo hapa nashangaa![]()
😄😄😄😄 Uzuri hazinitishi. mtaani zipo alafu gharama haizidi hata buku bee
acha wivu mtoto wa kikeee, utaolewa 😄😄😄😄😄 na mgirikiHatutaki bana,, unapost magari kwani hapa ni uwanja wa trafiki 😂😂
Inategemea na ukubwawakubwa mna rahaa..

ukubwa size yako, alafu na miaka sijaona ule mzigo imu ni bless mdogo wako nijisifie dada yangu wa ukweli 😄😄Inategemea na ukubwa![]()
🤣🤣🤣😄😄😄😄 Uzuri hazinitishi. mtaani zipo alafu gharama haizidi hata buku bee
Ebu tuone unavyoshangaa....Nipo hapa nashangaa![]()
Pole dearUmbea hauna maana kabisaa, kuingilia mapenzi ya watu, leo nasuuzwa huku,
Tsup kumenogaa, yaan mie wa kuchambwa hivi na sijibu kitu. Uwiiiiiiih![]()
Watu sio wazuriUlifichwa jmn karibu tena

Wanatuokoa wapendwa wao sio nyie jeuri kabisa 😄😄🤣🤣🤣
Nyie na hizo pisi zenu za buku ndio mnasababisha corona isiishe nchini
Hiyo ilikuwa makambako__mbeya yaani si unaona dereva anachart hapo huku gari inaenda yenyewe,,halafu wanamsingizia msigwaWapiii hii we mlongo? Superfeo huogopi?![]()

Tusubirie matokeo?🤣Watu sio wazuri![]()
Pole dear



yaan hapa nasubiri amalize, nipokee mie.