cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,473
- 188,319
Madesa now.Unasoma kitabu gani ? au unasoma madesa
Madesa now.Unasoma kitabu gani ? au unasoma madesa
ebu ka picha ka desa nione 😄😄😄Madesa now.
Kwa hyo kuchokazana ni muhimumnakaaje bila uchokozi.. ukiona hakuna uchokozi wala ushari.. tayari yamekuda hayo 😄😄
hapo mnapo anza maandishi ya kizungu ndio mna haribu.. 🙂🙂🙂 spice things sijaelewaKwa hyo kuchokazana ni muhimu
Wazungu wanasema spice things up
Msikae kae tu 😂😂
Ah ndo ilivyo inabidi umpe pole huku unamuuliza sasa umeamua nnJuzi usiku tumepiga story wee na ushauri juu, tena alipiga mwenyewe, leo nachambwaaaah, ila mapenzi ni nyokoooooh.
Yanini?Tusubirie matokeo?[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]msigwa wa watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huenda Msigwa ndo anawafanyia wachart huku hawajijui. Woiiiiiih
hapo mnapo anza maandishi ya kizungu ndio mna haribu.. 🙂🙂🙂 spice things sijaelewa
Hivi una nn lkn ww binti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatutaki bana,, unapost magari kwani hapa ni uwanja wa trafiki [emoji23][emoji23]
Nitumie namba yako nione unavyochambwaUmbea hauna maana kabisaa, kuingilia mapenzi ya watu, leo nasuuzwa huku, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tsup kumenogaa, yaan mie wa kuchambwa hivi na sijibu kitu. Uwiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poli hii chato hukumkuu safari ya wapi ? naomba lift nipo mbezi mwisho naenda kahama
Sitakiiiiiiiiiiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ebu ka picha ka desa nione [emoji1][emoji1][emoji1]
Yaan wee acha tyuuh.Ah ndo ilivyo inabidi umpe pole huku unamuuliza sasa umeamua nn
Vifaraja vya hapa pale .. ukimsupport kile alichoamua yeye . Ili usionekane mbaya
Dah! Umenikumbusha mbali sana, kuniambia chato.. I wish niwe kipande hicho . mida kama hii naingia hapo natoka paka geita mjini nime miss sana huo ukanda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akuuuuuh
we jeuri eeh 😄😄😄Sitakiiiiiiiiiiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeona connection ya baunsa? Wanaume wameisha, hata usiowategemea mwayaaa, nao wako ndani ya industry, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]msigwa wa watu
Hapanaaaa, mie sio jeuriiii.we jeuri eeh [emoji1][emoji1][emoji1]
haya weka picha ya desa tukusaidie ku solve hapa ,🙍🙍🙍Hapanaaaa, mie sio jeuriiii.
Ahsante, na kwako pia.Nawatakia kazi njema na siku yenye baraka tele wote
Saint Anne
Depal
Nations
Mjep
Shimba ya Buyenze
Antonnia
Heaven Sent
sophy27
Rumaiya
QueenDeby
cocastic
Lenie
Christine1
Strawbella
Alayna
Na wengine wote wa jukwaa hili
myoyambendi
Katriel
Kelsea