Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,342
Ok nitawekamie wa mtaani kwangu, hata ukiwuliza Jf nini hawaijui..Fanya namna mdogo wako kuni bless nipo hapa nacheza cheza na nyie dada zangu ila hamniokoi mdogo wenu
Ok nitawekamie wa mtaani kwangu, hata ukiwuliza Jf nini hawaijui..Fanya namna mdogo wako kuni bless nipo hapa nacheza cheza na nyie dada zangu ila hamniokoi mdogo wenu
Nibaki baki nazunguka zunguka hapa eeh! nisije pishana na gari ya mshaharaOk nitaweka
YerewiiiiiiView attachment 2276200
Mimi huyo nimevaa sweta lenye rangi za bendera ya Tanzania. Nasuburia 7600 yangu.
Sio miyeee huyuuu . nikikirusha unaweza sema bomba la Dawasa limepasuka tumboni mwa mtu, nakaribia mwaka sasa sijaotea nyavuu .. sijui nani ata ni bless tu![]()





wee tena huyooo, nakuachia mwenyewee.Ee kama uliongea shit kuwahusu lazima yakukute utulie hivyo hivyona usirudie next time.





nawee unaongeza doze?AnazinguaHuu ni uchokozi
😄😄😄😄 unaniachia yote yote yotewee tena huyooo, nakuachia mwenyewee.
Unachokitafuta utakipata. Kwa nini unasave pics za watu unazituma tena hapa? Nyie ndio mnasababisha watu wasiweke picha humu.View attachment 2276200
Mimi huyo nimevaa sweta lenye rangi za bendera ya Tanzania. Nasuburia 7600 yangu.
Wee huna kazi? Hadi usave picha za watu? Futa hii picha, khaaah.View attachment 2276200
Mimi huyo nimevaa sweta lenye rangi za bendera ya Tanzania. Nasuburia 7600 yangu.
Hawa ndio wana haribu mambo, dada kama amekukela nitupie hata PM tu.. nipo hapa nazunguka zungukaUnachokitafuta utakipata. Kwa nini unasave pics za watu unazituma tena hapa? Nyie ndio mnasababisha watu wasiweke picha humu.
😁😁😁 utanifanya nionekane shindikanaa wa kimataifabasi nisitume eeh au 😄😄😄
Mkeka unachanika itakuwa tukiomba picha hadi tugalegale chiniWee huna kazi? Hadi usave picha za watu? Futa hii picha, khaaah.
Sahivi watu tutakua hatuweki picha, khaaaah.
Mnaboaaa mnooo.
Yan nimeandika na kufutaWee huna kazi? Hadi usave picha za watu? Futa hii picha, khaaah.
Sahivi watu tutakua hatuweki picha, khaaaah.
Mnaboaaa mnooo.
Yaan kanitikisa kibofu cha mkojo hapa, huyu nani kwanzaa? Ni ingizo jipya au n mtu kabadili jina?
Pic yangu utaipataHawa ndio wana haribu mambo, dada kama amekukela nitupie hata PM tu.. nipo hapa nazunguka zunguka
😄😄😄😄😄 nimetoa angalizo😁😁😁 utanifanya nionekane shindikanaa wa kimataifa
Yaan kanitikisa kibofu cha mkojo hapa, huyu nani kwanzaa? Ni ingizo jipya au n mtu kabadili jina?



Kwani ni nani huyu eti? Kanitibua mnooo.Yan nimeandika na kufuta
Haya dada wangu, nipo hapa nasubiri 🙂🙂Pic yangu utaipata