Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
wakuchome na moto kabisa 🙍🙍Umbea hauna maana kabisaa, kuingilia mapenzi ya watu, leo nasuuzwa huku,
Tsup kumenogaa, yaan mie wa kuchambwa hivi na sijibu kitu. Uwiiiiiiih![]()
wakuchome na moto kabisa 🙍🙍Umbea hauna maana kabisaa, kuingilia mapenzi ya watu, leo nasuuzwa huku,
Tsup kumenogaa, yaan mie wa kuchambwa hivi na sijibu kitu. Uwiiiiiiih![]()
Hiyo ilikuwa makambako__mbeya yaani si unaona dereva anachart hapo huku gari inaenda yenyewe,,halafu wanamsingizia msigwa![]()





huenda Msigwa ndo anawafanyia wachart huku hawajijui. WoiiiiiihJeuri tunapewa na vijana wenzenu ujue, wale wa kuitwa Big boys😁😁Wanatuokoa wapendwa wao sio nyie jeuri kabisa 😄😄
wakuchome na moto kabisa![]()




sasa si ndo ulete hizo kuni. Au watumie umeme au Gas?Hahah ajiandaeyaan hapa nasubiri amalize, nipokee mie.
Namuacha atapike yote, nikianza kumuosha namtakatisha haswaaah.

Tuna namba ya songesha, ununue gas ya mihan wakulipue nayosasa si ndo ulete hizo kuni. Au watumie umeme au Gas?
Hahah ajiandae![]()
Mimi umbeya naupenda kwa mbali sipendi kusutwa .



huu hapa hata Co umbea, ni vile nilingilia penzi la watu, mie niliombwa ushauri, kosa langu nn sasa. 




Ah polehuu hapa hata Co umbea, ni vile nilingilia penzi la watu, mie niliombwa ushauri, kosa langu nn sasa.
Ila watu daaaah.![]()
Tuna namba ya songesha, ununue gas ya mihan wakulipue nayo



Voda ni wezi hatareee, niliwekaga buku 2, eti ika katwa, afu sasa sikua na deni wala sikuwahi kopa, nlishangaa, kupiga cm kwa wateja naambiwa kuna huduma niliungwa automatically baada ya kusajiri, khaaaah 





😄😄😄😄 wapenzi ukikuta wanapiga chonganisha zaidi sio ujidai kuamuaAh pole
Mambo ya mapenzi sio kabisa ni ya kuachia wenyewe ... Watu wamegombana leo kesho hao wamepatana .
Kabisaaa nimejifunzaaa yaan,Ah pole
Mambo ya mapenzi sio kabisa ni ya kuachia wenyewe ... Watu wamegombana leo kesho hao wamepatana .




So leo wapi sasa 😉😉😉Voda ni wezi hatareee, niliwekaga buku 2, eti ika katwa, afu sasa sikua na deni wala sikuwahi kopa, nlishangaa, kupiga cm kwa wateja naambiwa kuna huduma niliungwa automatically baada ya kusajiri, khaaaah
![]()
wapenzi ukikuta wanapiga chonganisha zaidi sio ujidai kuamua

wapenzi hawagombanagi huwa wanazinguana tu.. akili kichwani
Hakika uncle
Acha tu watu wakipenda wanasamehana kiurahisi
Kabisaaa nimejifunzaaa yaan,
Sirudii tena.
Sahihi aiseewapenzi hawagombanagi huwa wanazinguana tu.. akili kichwani
mnakaaje bila uchokozi.. ukiona hakuna uchokozi wala ushari.. tayari yamekufa hayo 😄😄Sahihi aisee
Kwa hiyo wanapimana tu hapo
Viuchokozi haviishi
Nipo zangu library, nabukua tyuuh.So leo wapi sasa![]()







Unasoma kitabu gani ? au unasoma madesaNipo zangu library, nabukua tyuuh.
Kipanga cocie hapa.![]()
Juzi usiku tumepiga story wee na ushauri juu, tena alipiga mwenyewe, leo nachambwaaaah, ila mapenzi ni nyokoooooh.Ah ile umempa tu ushauri huyo
Kesho hao unawaona pamoja .