cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Shangazi nilisinzia nipe Mambo hayo auntie
DoziNyie me naumwa
Nimechoka kujikaza
Nakazaaa!! Kitu hata hakikaziki!! Alaaaa
Uti na typhoid ni negative
Huku kuna baridi, ila nahisi mie nalisikia zaidi kuliko wenzangu..
Ikifika jioni baridi inazidi, mwili unanichemka haswaaaa mpaka najihisi.. nakuwa nahisi mwili mchovu
Maajabu ikifika saa 3 kama hivi joto lile linaisha lenyewe![]()
Tafuteni hela mnasingizia wadada wa mtandaoni kumbe hamna hela za kutuhudumia😎😎
Nitatuma jmosi sku ya kuchukua kombe la azamTuma vochaa cuzoo achaga uchoyo, muone kwan msieeeeeew.
![]()
Nipo AuntMr vocha hatukuoni tufanyie wepesi boss wetuMjep
Mie nikimuona
Shangazi upoooo??Shangazi nilisinzia nipe Mambo hayo auntie
Kumbe wee ni utopoloooo?Nitatuma jmosi sku ya kuchukua kombe la azam






Kwanini sasaAmesema bora aendelee kuumwa kuliko kuja kwako
Nishakutumiaa hukoo😂😂poleeeeeh
Usisahau zileHilo Msiwaze Kabisa..Vyumba vipo vingi sana na Will be so happy kama utaambatana na wizoo akee! Aje kula senene na matoke na ntongo;!
Sinapicha mpya auntNipo Aunt
Bado hujalala tu
Ebu jiselfishe nimekumiss ujue
Nipo auntShangazi upoooo??
KhaaKumbe bado unatafuta wii!!
Sasa ile wanchoma ya nani??

Tusubiri kitu cha cocastic kwanzaSinapicha mpya aunt
Nitaselfika tu sikunyingine
Tunakusikilizia