Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
COET dah! Basi njoo maji Rwegasira 😃😃😃sitaki cafe hapo, njoo venue ya COET.
COET dah! Basi njoo maji Rwegasira 😃😃😃sitaki cafe hapo, njoo venue ya COET.
kingine chemba kule 😬😬Mmepataaaaaa!!! Kingine 😊??
Kumbe nawee umooo.Yeah , hali ya hewa nzuri kweli .
Ooh hapo kumsikilizisha tu , taratibu huku ukiandaa snacks jikoni.





tamu sanaaNapenda sana sambusa😋
Sema hapa kule vocha tu 😂😂😂🤣🤣🤣😉!kingine chemba kule 😬😬
😃😃😃 watu wata desaaSema hapa kule vocha tu 😂😂😂🤣🤣🤣😉!
Jirani Safiiii sana...Uwe usiku wa baraka kwakoWishing you a wonderful and an enjoyable night guys!!
See you tomorrow 😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴
Siku akiondoka mama, ntakuwa uchi tena uchi haswaa.Hakuna kiumbe wa muhimu hapa duniani kama mama na akija kuondoka aisee muziki wake si wa kitoto.
It has been 5 yrs tangu mama aondoke lakini namba yake nishashindwa hata kuifuta. Kuna siku mambo yakinielemea huwa naiangalia tu natamani kweli niipige ili niisikie ile sauti tamu ya kizee "SYB walaga wane (kitinda mimba wangu) ūlīmhola. Ng'wamayū?"....and I would pay everything to hear that angelic voice again lakini ndo hivyo...kimyaaa cha milele!
Yes. Call your moms please. Tell them how you love and appreciate them...and help them whenever possible.....![]()




Ukiweka picha tena , anamuomba umtag ili akuone
Na kwako pia sports ladyWishing you a wonderful and an enjoyable night guys!!
See you tomorrow![]()
Pole jirani, Mungu akuponye🙏
Pole kitinda mimba.
In short kama mzazi wako yupo hai; you are blessed beyond your imagination. Kuwa na mtu wa kumuita baba au mama na akakuitikia; ni neema kubwa sana....





Hawataelewa bana ongea kwa codes za ki nshomile!😉😃😃😃 watu wata desaa
Hahahaha dear kumuimbia sio mbaya unaweza hata kuchezaKumbe nawee umooo.![]()
.Sitafuti wii😁Kumbe bado unatafuta wii!!
Sasa ile wanchoma ya nani??
Ingizo jipya hili. Who??????
Amen jirani 🙏Jirani Safiiii sana...Uwe usiku wa baraka kwako
🙏🙏🙏🙏😘😘Na kwako pia sports lady
🔓🌧️🌧️💧🚿🚿Hawataelewa bana ongea kwa codes za ki nshomile!😉