Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20220628_154815.jpg
 
Hakuna kiumbe wa muhimu hapa duniani kama mama na akija kuondoka aisee muziki wake si wa kitoto.

It has been 5 yrs tangu mama aondoke lakini namba yake nishashindwa hata kuifuta. Kuna siku mambo yakinielemea huwa naiangalia tu natamani kweli niipige ili niisikie ile sauti tamu ya kizee "SYB walaga wane (kitinda mimba wangu) ūlīmhola. Ng'wamayū?"....and I would pay everything to hear that angelic voice again lakini ndo hivyo...kimyaaa cha milele!

Yes. Call your moms please. Tell them how you love and appreciate them...and help them whenever possible.....
 
Hakuna kiumbe wa muhimu hapa duniani kama mama na akija kuondoka aisee muziki wake si wa kitoto.

It has been 5 yrs tangu mama aondoke lakini namba yake nishashindwa hata kuifuta. Kuna siku mambo yakinielemea huwa naiangalia tu natamani kweli niipige ili niisikie ile sauti tamu ya kizee "SYB walaga wane (kitinda mimba wangu) ūlīmhola. Ng'wamayū?"....and I would pay everything to hear that angelic voice again lakini ndo hivyo...kimyaaa cha milele!

Yes. Call your moms please. Tell them how you love and appreciate them...and help them whenever possible.....
Nampigia sasa hivi au nikamuone jioni hii
Ahsante mama malezi
 
Hakuna kiumbe wa muhimu hapa duniani kama mama na akija kuondoka aisee muziki wake si wa kitoto.

It has been 5 yrs tangu mama aondoke lakini namba yake nishashindwa hata kuifuta. Kuna siku mambo yakinielemea huwa naiangalia tu natamani kweli niipige ili niisikie ile sauti tamu ya kizee "SYB walaga wane (kitinda mimba wangu) ūlīmhola. Ng'wamayū?"....and I would pay everything to hear that angelic voice again lakini ndo hivyo...kimyaaa cha milele!

Yes. Call your moms please. Tell them how you love and appreciate them...and help them whenever possible.....
Pole kitinda mimba.

In short kama mzazi wako yupo hai; you are blessed beyond your imagination. Kuwa na mtu wa kumuita baba au mama na akakuitikia; ni neema kubwa sana....
 
Hakuna kiumbe wa muhimu hapa duniani kama mama na akija kuondoka aisee muziki wake si wa kitoto.

It has been 5 yrs tangu mama aondoke lakini namba yake nishashindwa hata kuifuta. Kuna siku mambo yakinielemea huwa naiangalia tu natamani kweli niipige ili niisikie ile sauti tamu ya kizee "SYB walaga wane (kitinda mimba wangu) ūlīmhola. Ng'wamayū?"....and I would pay everything to hear that angelic voice again lakini ndo hivyo...kimyaaa cha milele!

Yes. Call your moms please. Tell them how you love and appreciate them...and help them whenever possible.....

Ooh pole sana Mkuu
Hakika mama ni wa muhimu sana maishani
Ukiwa naye , mpende kwa dhati .

"To describe my mother would be to write about a hurricane in its perfect power. Or the climbing, falling colors of a rainbow.” - Maya Angelou

Nilikuwa nampigia simu hata mara tano kwa siku
Hostel wenzangu wakawa wananiambia nadeka sana .. kumbe ndo mwishoni naongea nae dah
Akija mjini kariakoo ananipigia tutembee wote .
 
Back
Top Bottom