Selfika na JF: Snap it. Show it

Pigweni sana na haisaidii

Mchawi ni ulomi tu dadangu.
Binti ukijaaliwa hekima na busara na kuutumia ulimi wako vizuri mbona huhitaji mganga?
Shimba ya Buyenze
Tia neno hapa mkuu
Wanawake hawaijui tu saikolojia ya mwanaume. Wangejua wala wasingekuwa wanahangaika. Hakuna hata haja ya kutumia limbwata wala ujanja mwingine...

We are very simple creatures basi tu sijui kwa nini huwa hawatuelewi
 
Okay dear

Hivi ni vijiti vilivyotengenezwa kwa mimea iliyosagwa, mimea, na vitu vingine vya ajabu, ambavyo wale wanaohangaikia kubana kwao wanahimizwa kuviingiza ndani ya uke wao kwa dakika mbili.
Hii ndy bana banduka siyo? K inakuwa mnato na joto sn ukitumia,hata Mzee atatamani awe anarudi nyumbani mapema
 
Sio uganga vipipi vinasaidia kiasi chake kwa wenye shida zao mwisho wa siku .. mtu anampenda ... Hawawezi kuacha maana akili zao zishaamini hivyo .
Mmh mwisho kutoa harufu kilakitu kimeumbiwa sehemuyake ndo maana kukosoft sio kwa ajili ya vipipi

Kitu special kwaajili ya huko kinajulikana sio vipipi Wala vijiti sema wanawake tutafika mbingun tunaburuzwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…