Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
๐๐๐๐Lenie ๐๐๐คฃ๐คฃView attachment 2274549
๐๐๐๐Lenie ๐๐๐คฃ๐คฃView attachment 2274549
Njema jirani, umeshindajeSalam za usiku wadau
Jirani usiogope..Bageshi๐๐๐
Nikisomaga tu hizo habari hua nashindwa kuimagine mhusika anajifeel aje, unawexa tamami ardhi ipasuke udumbukie chibwii upotelee huko.
Hizi mambo zingine zisikie tu kwa watu jamani usiombe zikutokee
Njema sana jirani Bado Nasubiria jirani!!๐๐๐๐๐ Sijatoka hapaSalam za usiku wadau
Salama kabisa jiraniNjema jirani, umeshindaje
Jirani usijali..na zawadi itatumwa. Subira yavuta heri ..Njema sana jirani Bado Nasubiria jirani!!๐๐๐๐๐ Sijatoka hapa
Basi Sawa jirani wacha nisubirie nile mbivu jirani!!!Jirani usijali..na zawadi itatumwa. Subira yavuta heri ..
Pole sana jiraniNyieeeee leo kuna baridi aisee
Tumeamka nayo, tumeshinda nayo, na sahivi tunaenda lala nayo..
Leo Mbise kaamua ๐ฉ
Baridi mpaka najisikia niko wa motooo
HaijapoaPole sana jirani
Asante jirani..Basi Sawa jirani wacha nisubirie nile mbivu jirani!!!
Kulikoni jiraniHaijapoa
Safii jiraniiii....View attachment 2274602
Nimeficha vidole kwa sababu ๐คจ
Safiii.....jirani bado mapema.Usiku mwema wapendwa!!!!
Kesho nayo ni siku
Leo Nimechoka sana jirani hapa kichwa kina jam la usingizi hatari!!!Safiii.....jirani bado mapema.





๐คฃ๐คฃ๐คฃMtoto rangi ya mtumeeee..mguu softiiii ๐๐๐๐๐ kweli baba pasta aliinyoii๐
๐๐Leo Nimechoka sana jirani kichwa kina jam la usingizi hatari!!!
Nikapumzishe fuvu langu kidogo Enjoy your time jirani!!โ๏ธ
Aisee...Nitafanyaje best huyu kanipa libwata si bure huwa naapa simtaki tena ila akitaja jina tu Nuzuu yaani hasira kwishaa ngoja niende kwa Mwamposa akaniombee si bure kuna namna๐คจ๐
He!.. jirani vipi tena.Aisee uchawi upo ๐คจ
Shangazi ๐๐Leo Nimechoka sana jirani hapa kichwa kina jam la usingizi hatari!!!
Nikapumzishe fuvu langu kidogo Enjoy your time jirani!!![]()